Adama city ni timu ya daraja la 2 nchini Ethiopia waliteuliwa mara baada ya timu zote za ligi kuu kukataa kushiriki kagame cup
KMKM wanapigwa goli la kizembe kabisa hapa...kipindi cha 2 kimeanza
Dk 90+5 FT
Azam 2 - 2 Atlabara
Hawa Azam ni wachovu, hivi kama wasingenunua ile mechi ya KMKM, wangemfunga nani?