Huyu beki wa APR Mbuyu Twite atajilaumu sana.....
Mechi ya kwanza(group stage) alifanya ujinga ukapelekea Sid Buhanuzi kufunga goli la 2 na leo amefanya kosa kwa kuanza kumlalamikia/kumfokea Buhanuzi na kumuacha Haruna Niyonzima anaenda golini kwao na kupiga krosi ya goli