jamaa wa mbili sio wale kabisa enheee kweli makoye aliongea kitu kizuri sana kwa nyie wanayanga watu walimbeza leo mtakiona wenzenu swaaaaaafi tupo final..
Huu uswahili ndio unafanya soka letu lisipige hatua.NGassa anachemka mtu mwenyewe,msianze kuleta uswahili.Kama kwenye mchezo wa leo ukiondoa goli zuri alilofunga sikuona effectiveness yake.