Jamaa kafanyiwa foul akaanguka,Refa anadai kadive na Replay inaonesha ni foul.....
Refa keshaharibu mchezo
Kiukweli CECAFA ni watu wa hovyo kabisa.....Wao(hasa Nicholous Musonye) wanaangalia pesa tu badala ya kuangalia kukua kwa kiwango cha soka...Wanachojaribu kufanya ni kuibeba Azam na baadaae kuibeba Yanga ili ziingie kwenye final,wapate mashabiki wengi na fedha nyingi........Huu ni upuuzi wa kiwango cha kutisha