Punguza Munkari Kaka ushindi wa magoli ma'3 (1 la offside,1 la penalt,1 la kawaida) mbona ni ushindi tu,kwani mlitakaje mfunge 7 kama Yanga,Vita na APR...au ulitaka washambuliaji wenu wafunge goli linaloweza kuingia katika list ya magoli makali ya hii Kagame?