Duuh..Jirani vp? Mbona timu yako imekonda hivi? Hadi PORTS ya Djbout? Nchi ya 9 kutoka mkiani kwenye soka duniani?. Au kombe la urafiki limekulevya? Au mzimu wa Okwi? au ndio unavuta kasi kipindi cha pili? Mmmh..ngoja nisubiri dk 90
Kuna kauli niliisoma juzi nikatamani kutafuna keyboard. Eti kanu alipangwa huku akiwa na Malaria..... ebo sasa kwa nn apangwe kama alikuwa anaumwa wakati tuna players wengine kibao ? Nimesoma hizo changes za Nyosso kuingia badala ya Kihemba so hope Kiraka kapombe either anapanda kuwa defensive midfield au hata mbele zaidi ili Kazimoto au Kanu arudi hapo katikati nyuma !!