Ili kuleta haki ya mchezo wa soka inabidi iwe kama ngumi za kwamba wenye uzito unaofanana ndo wapigane, CECAFA wangetenda haki endapo Wau Salaam na Port pamoja na mafunzo wangekuwa kundi moja, Azam angechukua nafasi ya Wau Salaam na Tusker angechukua nafasi ya Port.