CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Aibu ya tz itaokolewa na azam mwaka huu!
Hakuna cha aibu wala nini...Timu zote zina nafasi ya kufanya vizuri mkuu...Simba watavuka tu kwenda Robo fainali,Yanga kundi lao zinavuka timu tatu kama sikosei hivyo ni rahisi kwao kwenda QF...

Kiungo cha Simba kimepwaya,pia mabekiwa hawaelewani...wanafanya ujinga ambao utawagharimu...

Sunzuuuuuu......Offside
 
Saint Ivuga; Habari ndiyo hiyo, maumuivu ya kichwa huanza pole polee ...
 

inabidi Kazimoto arudi kati mkuu
 
Saint Ivuga; Habari ndiyo hiyo, maumuivu ya kichwa huanza pole polee ...

Muda bado mkuu...ndo kwanza dakika ya 41....

Simba wanajitahidi sana kulifikia lango la URA...tatizo ni umaliziaji..

Pengo la Okwi linaonekana dhahiri
 
Okwi kweli ni kifaa, pengo lake linaonekana.
 
Hyo kuvuka kwa timu wenyej kuvuka kwa nafasi ya tatu,au defending champions kuvuka kwa third place mi kwangu naona ni aibu!najua yanga ikiifunga tu wa salaam ya sudan kusini itakuwa imevuka ,ht ikipigwa na apr !coz the chance that wa south sudan watashika mkia is much much bigger!ila dah,noumer!!
 
loh half time simba bado tuko nyuma.piga ua prof milovic lazima ubadilishe fomesheni
 
Tatizo la Simba lipo kwa beki...Namba 4 na 5 hawaelewani...

Leo siwaoni Masuke na Crashwise...Ama wanasubiri mpaka Simba wafunge ndo waanze kupost?,wasalimu ukiwaona...

Dakika ya 30

Simba 0 - 1 URA

Mtaalamu Owen Kasule kaumia...
Mkuu nipo tena uwanjani kabisa ndo maana huoni post zangu, jana kocha nimempagia kikosi sijui kwa nini hajakitumia, kuna watu wazuri sana nje na kama kocha atawatumia basi tunaweza kufanya vizuri ila kipindi cha kwanza jamaa wamecheza vizuri kuliko sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…