Hakuna cha aibu wala nini...Timu zote zina nafasi ya kufanya vizuri mkuu...Simba watavuka tu kwenda Robo fainali,Yanga kundi lao zinavuka timu tatu kama sikosei hivyo ni rahisi kwao kwenda QF...
Kiungo cha Simba kimepwaya,pia mabekiwa hawaelewani...wanafanya ujinga ambao utawagharimu...
Sunzuuuuuu......Offside