Kocha Tom Saintfeit amesema Yanga haitashiriki mashindano hayo ya kuwatengenezea fedha TFF na washirika wao mashindano amabayo yanaumiza tu wachezaji......
Amesema yeye anataka kuandaa na kutengeneza timu ya ushindi....
nIMEPENDA KITU KIMOJA AZAM HAWA PANIC HATA KAMA WAMEFUNGWA WANACHEZA MPIRA WAO UKIONDOA UZEMBE MDOGO MDOGO KWELI LIGI KUU ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA...
nIMEPENDA KITU KIMOJA AZAM HAWA PANIC HATA KAMA WAMEFUNGWA WANACHEZA MPIRA WAO UKIONDOA UZEMBE MDOGO MDOGO KWELI LIGI KUU ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA...
Azam KIHEREHERE! Kameanza mambo ya kikubwa kakiwa kadogo, anyway Mny. Simba, SC kalimtwanga brain concurssion, leo kamechapwa! Hata hivyo sio kazuri kama Sweet wetu, angekuwa yeye tungepiga mara 7.
Azam KIHEREHERE! Kameanza mambo ya kikubwa kakiwa kadogo, anyway Mny. Simba, SC kalimtwanga brain concurssion, leo kamechapwa! Hata hivyo sio kazuri kama Sweet wetu, angekuwa yeye tungepiga mara 7.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
Rais wa Yanga Yusuf Manji akikaba mpaka penati leo karibu na vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji wake kuhakikisha hakuna hujma toka kwa watu wa bakhresa
Yanga wakisherehekea baada ya kurudishiwa ndoo yao ya kimataifa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
nIMEPENDA KITU KIMOJA AZAM HAWA PANIC HATA KAMA WAMEFUNGWA WANACHEZA MPIRA WAO UKIONDOA UZEMBE MDOGO MDOGO KWELI LIGI KUU ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA...