CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

:redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface::redface:
 
Nafikiri leo kila mtu atakuwa amekubaliana na mimi kuwa Azam wasipokuwa 12(Na refa) hawana uwezo wa kuwafunga Yanga
 
Nafikiri leo kila mtu atakuwa amekubaliana na mimi kuwa Azam wasipokuwa 12(Na refa) hawana uwezo wa kuwafunga Yanga.
 
Nafikiri leo kila mtu atakuwa amekubaliana na mimi kuwa Azam wasipokuwa 12(Na refa) hawana uwezo wa kuwafunga Yanga..
 
Nafikiri leo kila mtu atakuwa amekubaliana na mimi kuwa Azam wasipokuwa 12(Na refa) hawana uwezo wa kuwafunga Yanga...
 
Hongera simba kwa kumlea Barthez na leo amejitahidi na amesaidia yanga kuchukua kombe.
 

kWANIABA YANGU MWENYEWE NAOMBA NIWAPONGEZE WATANI ZANGU...HONGERENI SANA TUKUTANE KWENYE KOMBE LA MBUZI LINALOANZA TAREHE 4.8.12....MWABEJA SANA

Tunapokea pongezi zako kwa mikono miwili lkn ma'kombe ya MBUZI sisi tutaendelea kutoshiriki
 
Nafikiri leo kila mtu atakuwa amekubaliana na mimi kuwa Azam wasipokuwa 12(Na refa) hawana uwezo wa kuwafunga Yanga....
 
Nafikiri leo kila mtu atakuwa amekubaliana na mimi kuwa Azam wasipokuwa 12(Na refa) hawana uwezo wa kuwafunga Yanga...

mtani mpira huwa nimakosa ya upande mmoja na kusababisha upande mwingine upate nafasi ya kufunga goli.kuchukua kombe hili siyo kweli kuwa yanga ndo mtemi east africa, natambua timu za Sudan na Ethiopia hazikuwepo so msijivune sana
 

kWANIABA YANGU MWENYEWE NAOMBA NIWAPONGEZE WATANI ZANGU...HONGERENI SANA TUKUTANE KWENYE KOMBE LA MBUZI LINALOANZA TAREHE 4.8.12....MWABEJA SANA
Kocha Tom Saintfeit amesema Yanga haitashiriki mashindano hayo ya kuwatengenezea fedha TFF na washirika wao mashindano amabayo yanaumiza tu wachezaji......

Amesema yeye anataka kuandaa na kutengeneza timu ya ushindi....
 
Hongera sana Bala and Co..

kwa mpira tu tumecheza ila magoli haikuwa zali letu tu..
 
Kocha Tom Saintfeit amesema Yanga haitashiriki mashindano hayo ya kuwatengenezea fedha TFF na washirika wao mashindano amabayo yanaumiza tu wachezaji......

Amesema yeye anataka kuandaa na kutengeneza timu ya ushindi....

duu kumbe ndo mipango yenu hongera zenu..
 
We are the champions ....Yanga: kagame cup champions..Yanga for life...best team in the country by miles..

Simba na azam wakacheze pemba team za waarabu hizo.. Team ya watanganyika ni moja tuu YANGA

Hongereni. Lakini hilo la timu ya watanganyika,hapo nagoma. Mimi ni mtanganyika na wala siishabikii Yanga. Mimi Simba damu - Ilala Sharif Shamba 1.
 
Back
Top Bottom