CCM’s svengali hold

Una uhakika? Lissu hakutaka Mbowe atoke mahabusu

Ndio ulichobakiza uchonganishi. Mumfungulie kesi wenyewe halafu unaniuliza Kama Nina uhakika Lissu alitaka Mbowe atoke?. Kipindi Lissu amepigwa risasi mlidai ni Mbowe.

Kwa Sasa hamna pa kushikilia, kesho CHADEMA wakiwasha Moto mataanza Kumlaumu Rais Samiah. Mtahangaika Sana. Hii dunia ili uishi vizuri tafuta amani na watu.
 
Namsikitikia Tundu Lissu maana alipo anaumia
Acha upumbavu, aumie nini wakati yeye alikuwa wa kwanza kuonana na Rais tena wakati mkiti wake akiwa mahabusu? Wahutu hampendi nchi itulie, mnataka mifarakano tu muda wote, sijui inawanufaisha vipi? Hiki kizazi cha jiwe na wapambe wake kama wewe ni cha kukifutilia mbali, ni watu wabaya sana katika taifa hili! Na yule chizi angeendelea hadi 2025 hii nchi ingeingia vitani
 
Hiyo ya awali ilifunguliwa wapi na ilikuwa namba ngapi?
Bange za mchana mbaya sana kwa kweli!

Bange unavuta wewe. Unaniuliza maswali baadala usubiri nikujibu unaniambia navuta bange. Kama unavuta bange isikutume uone kila mtu anavuta bange.

Na hayo maswali jijibu mwenyewe, unabisha kitu hukifahamu.
 
Wanajaribu kumkubali Samia ili kumkomoa Magu ila sasa nature inawapiga chenga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 

Mbowe alienda nyumbani kwake na aliongea kidogo na waliofika nyumbani kwake. Baadae ndio akapata huo wito wa kwenda ikulu.
 

Hapo unaandika huku unaumia. Juzi ulikuwa unamwita gaidi leo unalalmika kwanini ameenda ikulu. Gaidi anaruhusiwaje kwenda ikulu.
 
weka ushahidi kama alienda mwenyewe,uitwe na Raisi halafu ukatae hata hata sijui unamaanisha nini?unajua raisi anakuitia jambo gani?
 
Hata kama inaenda mrama, wapinzani are not capitalizing on it!

Very disappointing.
Kama ulikuwa unajua Mbowe yupo ndani kwa kesi ya uwongo na ghilba za CCM, mbona hujawahi kukemea unyama Huo? Leo unakuja na nsha ndefu ya kumponda huyuhuyo aliyeteswa badala ya mtesaji? Lini mtaacha unafiki wenu enyi MATAGA?
 
Sijamlaumu!

Ila nashangaa alikaza fuvu alafu kaenda kusujudu kwa mtesi wake kindezi namna ile

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

haahaaaaha! haaaaaaha haaaas!i. Kwa hivyo baadala ya kumshangaa aliyeaminisha ulimwengu kuwa Mbowe ni Gaidi kumwalika Gaidi ikulu, unamshangaa Gaidi amefikaje ikulu? Umenishangza Sana.
 
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
 
Muda ndiyo utakaotuambia kwamba hii fursa wataitumia je? Ili waweze kutuhakikishia kwamba kweli kuna upinzani Tanzania. Maana inaogopesha sana kushuhudia watu tena wazito wanatoka chama tawala wanajiunga na upinzani baada ya muda mfupi unasikia karudi. Mara mpinzani kafungwa, muda si mrefu , unasikia kafunguliwa jana na leo anaapishwa kuwa Mbunge wa viti maalum japo chama chake hakimtambui. Sasa tutajuaje kama huyu aliyeachiwa jana kaenda Ikulu kwenda kuchukua hundi yake?
 
Kama ulikuwa unajua Mbowe yupo ndani kwa kesi ya uwongo na ghilba za CCM, mbona hujawahi kukemea unyama Huo? Leo unakuja na nsha ndefu ya kumponda huyuhuyo aliyeteswa badala ya mtesaji? Lini mtaacha unafiki wenu enyi MATAGA?
Nimekemea sana tu!

Labda useme kuwa hujui kusoma na kuelewa…
 
Jaribu kuwa fair kidogo,Mandela alifungwa miaka 27,alipotolewa jera,alienda kukutana na waliomtesa,wa SA na Ulaya na USA!!
Mandela asingeweza kuijenga SA peke yake ilimlazimu ashilikiane na waliomtesa,
Kwenda kuonana na Samia,ameenda kuonana na mfumo uliomtesa,ulitaka afanye nini?unajua wameongelea nini?
Kama ulivyosema ccm hawatoki leo Madarakani,ni mashetani Sawa,lakini ndio walioshika dola,hakuna jinsi lazima uongee nao.
Jifunze kwenye vita ya Ukraine,Russia ameipiga Ukraine,imeishalegea harafu anasema sasa yupo tayari kwa mazungumzo!
Kwa kumuachia Mbowe,je kesho wanaweza Tena kumpa kesi ya ugaidi!?not likely!!hapa ccm wamepigwa tatu bila.
 
😀😀😀 eti bwana kwani ilikuwa lazima kunya hadharani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…