econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 23,336
- 35,233
Hahahha... Yani bado tu hamtaki kuamini kama Samia kawazidi akili na mnataka hata hili kumdondoshea zigo Magu?
Toka july hadi oktoba Mbowe alikuwa anazunhuka nchini kupiga kampeni za kumnadi Lisu!..
Twambie hiyo kesi ilifunguliwa lina na nani.?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kesi ya awali ilifutwa, ndio ikafunguliwa nyingine ambayo Mh Mbowe akaunganishwa. Tatizo unaongea bila kujiridhisha.