CCM’s svengali hold

CCM’s svengali hold

Kwamba amekamatwa kipindi Samia ni Rais hakuna anayebisha, lakini angekamatwa kama kusingekuwa na huo ushahidi uliopikwa Kwa maelekezo ya mwendazake?

Na Je mama alipaswa kufanyaje pale alipoambiwa na wasaidizi wake wenye dhamana kwamba Wana ushahidi usio na shaka kwamba Mbowe ni gaidi?

Mwisho wa siku utagundua Mama Samia hakuwa na option zaidi ya kufuatilia kinachoendelea mahakamani ndiposa akagundua ni ushahidi wa mchongo akaanza kutafuta exit plan.
Magufuli alikuwa keshakufa.

Samia alikuwa anapindua yote ya Magufuli tena kwa kasi ya ajabu.

Tuliona Rugemalira alivyotolewa jela/ gerezani.

Kwa Rais Mungu tuliyenaye, asingeshindwa kupindua na ya Mbowe.

Mnachofanya hapa ni ‘reaching’.

Hii kesi ya Mbowe inamwangukia Samia 💯 %.
 
You can put on as much lipstick on a pig and it will still be a pig!

Mbowe kakamatwa na kufungwa kipindi Samia ni Rais.

Huo ndo ukweli.
Hebu ona hiyo heading ya gazette kipindi Cha JPM
JamiiForums-378048693.jpg
 
Magufuli alikuwa keshakufa.

Samia alikuwa anapindua yote ya Magufuli tena kwa kasi ya ajabu.

Tuliona Rugemalira alivyotolewa jela/ gerezani.

Kwa Rais Mungu tuliyenaye, asingeshindwa kupindua na ya Mbowe.

Mnachofanya hapa ni ‘reaching’.

Hii kesi ya Mbowe inamwangukia Samia [emoji817] %.
Ndiyo ameshapondua tayari, najua utasema amechekewa lakini Kila mtu anajua angekuwepo yule kiongozi wa malaika akina Mbowe wangeozea jela
 
Magufuli hayupo.

Mbowe kafungwa na Samia.

Period.
Wewe amini hivyo lakini tupo tunaoangalia mambo Kwa namna ya tofauti kidogo. And I hope hata Mbowe anajua ndiyo maana imekuwa rahisi kwenda kuonana na Mama Samia. Tangu Walinzi wake wamekamatwa July 2020 alikuwa anafuatilia kinachoendelea so anajua nani ni adui yake na nani siyo.
 
Wewe amini hivyo lakini tupo tunaoangalia mambo Kwa namna ya tofauti kidogo. And I hope hata Mbowe anajua ndiyo maana imekuwa rahisi kwenda kuonana na Mama Samia. Tangu Walinzi wake wamekamatwa July 2020 alikuwa anafuatilia kinachoendelea so anajua nani ni adui yake na nani siyo.
Mbowe kafungwa na Samia!

Naona inakuuma sasa kukabiliana na huo ukweli!
 
Yote mnayoandika humu Ni hisia tu. Kwanini alienda , aliitwa au alijipeleka wanajua wao wawili Samia na Mbowe.

Ninachojua Mbowe aliitwa na My. Rais na alipaswa kwenda.

Ni mjinga tu ataona hakupaswa kwenda. Una madai halafu unaogopa au unakataa kukutana na unayemdai?

Hili Ni andiko la kuwashusha Chadema, au kuonyesha kwamba hawako makini ktk strategy zao. Na mwandishi siyo kwamba Ni mtu mwenye uchungu na ishu ya mbowe. Kiasi fulani amefanikiwa kuwateka wajinga wachache.
 
Na amekuwa akimsifu JPM kipindi chote ambapo alikuwa akikandamiza demokrasia kipindi Cha JPM Mbowe Kabomolewa bilcanas, kuharibiwa shamba lake, kufungiwa gazeti lake la Tanzania daima, kufukuzwa kwenye Jengo la NHC ambalo kiasili ni Mali yao, kutajwa kwenye madawa ya kulevya na makonda, kuvamia na wasiojulikana na kusingiziwa alikuwa amelewa , kufungiwa akaunti yake na pesa zake kuchukuliwa.

Baada ya kufanya yote hayo watawala walikuwa wamebakisha option Moja tu kumpoteza Mbowe.
Ni wakala wa shetani na chama chao cha mashetani!
 
Magufuli alikuwa keshakufa.

Samia alikuwa anapindua yote ya Magufuli tena kwa kasi ya ajabu.

Tuliona Rugemalira alivyotolewa jela/ gerezani.

Kwa Rais Mungu tuliyenaye, asingeshindwa kupindua na ya Mbowe.

Mnachofanya hapa ni ‘reaching’.

Hii kesi ya Mbowe inamwangukia Samia 💯 %.
Wewe pimbi Nyani Ngabu uko nje na fake ID yako wakati Mbowe yuko ndani anateseka. Logic yote unayoitafuta kwa sasa haina maana. Mbowe mwenyewe amekubali kufanya siasa za kistaarabu, hayo mengine hayana maana tena.

Poleni sana wasukuma, mjitahidi kuzoea Mama yupo hadi 2030
 
Wewe pimbi Nyani Ngabu uko nje na fake ID yako wakati Mbowe yuko ndani anateseka. Logic yote unayoitafuta kwa sasa haina maana. Mbowe mwenyewe amekubali kufanya siasa za kistaarabu, hayo mengine hayana maana tena.

Poleni sana wasukuma, mjitahidi kuziea Mama yupo hadi 2030
Pimbi kende za bibi yako 🖕😀
 
Wanajaribu kumkubali Samia ili kumkomoa Magu ila sasa nature inawapiga chenga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Wamesahau Mbowe mwenyewe alisema Magufuli pamoja na udikteta wake wote hakuwahi kuwapa case ya ugaidi. Samia amewa-outsmart.
 
But I got you, imewauma sana masukumagang, kwanza Mbowe kutoka na pili kuonana na Mazaa! Some of you will have to die, to easy the pain!
You got me? A figment of your imagination.

Try something else:
 
Uliyepanic ni wewe. Yaonekana hutomsahau Magufuli maisha yako yote 🤣
Namsahauje! Sema Wewe unaye abudu falsafa zake za kishetani, utaishi na maumivu siku zote, hasa watu watakapo enda kinyume naye, kama Mazaa anavyo fanya sasa!
 
Back
Top Bottom