josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,252
- 1,046
Chama Cha Mazezeta!
..... ..... . .
. . . . . .
. . . . .
. . . .
..... ..... . .
Haya endelee kuchagua hao wanaonufaika na umasikini wenu tuone mtafika wapi!!
Sisi wengine tunakula kuku kwa mrija tu,msipobadilika na mkachagua mabadiliko shauri yenu!Msitusumbue na kuomba pesa ya kula tunapopita mabarabarani maana UMASIKINI mmejitakia wenyewe!!!
Kila la kheri!
Ujumbe huu nimeupenda!