CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

Taatizo walijjaza mbululula na waliposoma. Nyakati hata viongozi w. Juu awakukanyaga
 
Bado natafuta jibu la "kwanini CCM inapendwa sehemu zenye umasikini wa kutupwa na kule kwenye elimu duni?" ............ will be ryt back!

Mema ya nchi unakula duniani mbinguni mahesabu
 
imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!!
unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
Wewe ni mgense tu wa magamba konyo
 
Wenzako wanapiga noti we unashindiamihogo ya kukaanga rofa wewe,tafuta ela mtoto wa kiume hata aibu huoni
 
ww,w,nan,mm
Kwa uandishi huu sijui masters uliipataje

muulize prof charles zenovo wa pale royal university aka queen elizabeth int.university london atakwambia mm nan chuon pale na record gn nimeacha pale
 
imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!!
unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!

Hii akili timamu au wewe ndiyo Riz-one??
 
At least kijtana akakae mjengoni kidogo apunguze muda wa kuagiza sembe atiiiii.
 
Mbona sasa mleta MADA hajasema huo USHINDI wa kishindo ni asilimia ngapi?
 
ww,w,nan,mm
Kwa uandishi huu sijui masters uliipataje

ukitaka kujua nimeipataje kamuulize prof charles zenovo pale queen elizabeth international university ujue record nliyoweka pale upate sifa za mtanzania ambaye degree mpk masters hajawahi kupata less than 99% ktk exams
acha wivu na ww c usome tu
 
Hivi baba'ko akiiba utafungwa wewe?
Kama kakuwekea dhamana na pia kwenye siasa zetu za bongo kuna waziri kivuli, mbunge kivuli nasikia pia kutakuwepo na diwani kivuli, hapo sasa changanya na za kwako!
 
Back
Top Bottom