CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

Li chama la walalahoi na mbumbumbu wakupewa chumvi na kilo ya sukari! Wasomi wote na wajanja wa mjini hawashoboki na magamba! Good news is mtaji wenu soon utaisha kizazi kinachokuja hakidanganyiki your days are numbered!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwanini uswahilini CCM inakubalika ?

Vile vile maeneo hayo mara zote hakuna maendeleo.

au sera ya watu wa Pwani ni '' Vote for ubwabwa ''
 
Ni wendawazimu tu watakao shangilia ushindi wa ccm tena mkoa wa Pwani. Sasa uchaguzi umeisha nenda katembelee vijijini hasa wilaya ya Bagamoyo ambako chalinze iliko ujionee hali ya maisha ya watu. Unashangilia kushinda wameshinda nini?

Ngoja sasa tuone hizo ahadi zilizomwagwa na hasa ununuzi wa matrekta kila kijiji. AMA KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO

We kama sio mchawi bas n mkaaanga sumu,ukerewe machemli amefanya nn?ubungo je?kawe?iringa na mbeya kunanini?Moshi na Arumeru kunanini?we omboleza tu acha michepuko Chadema baki njia kuu CCm


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Eti wanajamvini matusi ruksaa eeeh.ngoja na mimi nitukane "naniu zenu... Desh desh wakubwa nyie". Zitto waonee huruma chadema maana hata mungu huwa anasamehe zitto eeeeeh
 
Hivyo vibibi na vibabu visivyofikiri vitakufa kwa jinsi maisha yanavyozidi kuwa magumu then chama cha mabang kitaisoma namba.
 
Zitto anaingieje hapa?

avatar173744_5.gif
 
Bado natafuta jibu la "kwanini CCM inapendwa sehemu zenye umasikini wa kutupwa na kule kwenye elimu duni?" ............ will be ryt back!
 
Li chama la walalahoi na mbumbumbu wakupewa chumvi na kilo ya sukari! Wasomi wote na wajanja wa mjini hawashoboki na magamba! Good news is mtaji wenu soon utaisha kizazi kinachokuja hakidanganyiki your days are numbered!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kamanda Lia taratibu wasijesikia majirani maskini poleni sana, haya masisiemu mashetani kabisa, teh teh teh inaumaa eeh vumilia lakini
 
Back
Top Bottom