CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

We ni mjinga, mama yako asikitike kuzaa mkazi wa Mirembe

ndugu mama yangu hawezi kusikitika kuzaa mtoto msomi anayemjali mm ndg yng now nafanya phd ya political science with international laws sasa mm n ww sijui nan mkaz w mirembe mm nimechagua chama chenye viongoz makini mwenyekiti phd makamu phd wew sasa ww umechagua chama kiongoz wake form failure wapambe wake bavicha kina lema na wengne nan mkaz w mirembe?
 
Kamanda Lia taratibu wasijesikia majirani maskini poleni sana, haya masisiemu mashetani kabisa, teh teh teh inaumaa eeh vumilia lakini

Ukweli mtaujua tuuu your days are numbered! Ngome ya ccm ni mikoa choka mbaya pwani, tanga.....
 
Bado natafuta jibu la "kwanini CCM inapendwa sehemu zenye umasikini wa kutupwa na kule kwenye elimu duni?" ............ will be ryt back!

CCM ni chama cha wanyonge, tunawasikiliza, tunawaenzi, tunawapenda, tunawatetea, wanatudekeza tuko pamoja nao:







 
Ccm hata wasomi na matajiri wanaikubali kwanini uwatukane maskini?. Ndiyo maana nikasema chadema chama cha wahuni tu
 
Na bado sana. Wewe unaemwambia mwenzako mkazi wa milembe siasa umeanza kujua lini. Na wewe mzazi wako si CCM? Basi naye atakuwa mkazi wa milembe au? Acheni siasa za chuki. Umetupwa amka uangalie umekosea wapi. CCM hoyeee.
 
asilimia kubwa chalinze n mambululaaaaaaaaaaa a.k.a washikishwa uk....................
 
Kudadadeki chadema wanatweta utafikiri wamekutana na Jambazi akiwa kazini. Na bado zitto atawanyonya mpaka mavi.
 
Li chama la walalahoi na mbumbumbu wakupewa chumvi na kilo ya sukari! Wasomi wote na wajanja wa mjini hawashoboki na magamba! Good news is mtaji wenu soon utaisha kizazi kinachokuja hakidanganyiki your days are numbered!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkubali tu hamkubaliki, badala ya kuzua mambo ya kufikirika. Muungwana akivuliwa nguo huchutama
 
Ccm oyeeeeeeeeee. Yaani nyie chadema mchukue kiti cha chief wa karne na karne haaaaaaaaaaa.
 
ndugu mama yangu hawezi kusikitika kuzaa mtoto msomi anayemjali mm ndg yng now nafanya phd ya political science with international laws sasa mm n ww sijui nan mkaz w mirembe mm nimechagua chama chenye viongoz makini mwenyekiti phd makamu phd wew sasa ww umechagua chama kiongoz wake form failure wapambe wake bavicha kina lema na wengne nan mkaz w mirembe?

Mwenyekiti wenu ni dr na wala hana Phd
Vipi thesis yake ya masters inapatikana maktaba gani?
Na je! Kuna andiko lolote amewahi kutoa m/kiti wako teh teh nakufa kwa kicheko
 
Poleni Chalinze ....

Huyo mbunge alikua kila akimaliza kuwasalimia wananchi alikua ananawa na detol mikono. Huyu ndio mtu wa watu wenu. atapanda v8 tinted nyie na fuso oopen body
 
imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!!
unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!

watu pori hao wa Chalinze, wanaishi kama manyani! Washazoea kijani rangi ya miti
 
Back
Top Bottom