M marikiti JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 2,972 Reaction score 914 Apr 7, 2014 #121 Chadema hata viroba havitapita leo.kazanieni sera yenu ya mbunge na diwani kivuli maana kwa mtindo huu hamshindi tena
Chadema hata viroba havitapita leo.kazanieni sera yenu ya mbunge na diwani kivuli maana kwa mtindo huu hamshindi tena
Jimmy Santadio JF-Expert Member Joined Mar 16, 2013 Posts 466 Reaction score 134 Apr 8, 2014 #122 abakorakamo said: bila zito chadema itafutika kabisa Click to expand... shhhhh!!!!!!! usiwape siri ya kuvurugikiwa kwao. Waambie zitto ni kirusi ndani ya chadema ili mambo yaendelee hivi hivi tuu kama yalivyo sasa.
abakorakamo said: bila zito chadema itafutika kabisa Click to expand... shhhhh!!!!!!! usiwape siri ya kuvurugikiwa kwao. Waambie zitto ni kirusi ndani ya chadema ili mambo yaendelee hivi hivi tuu kama yalivyo sasa.