nini chadema ifanye ili matattizo haya yasitokee??
kwa kuwa fomu zinalipiwa na chama basi ni mali ya chama kwahiyo mgombea asaidiwe na chama kujaza fomu na kuzirudisha kw kusaidiwa na chama kwahiyo uongozi mzima wa kata upewe jukumu l akushughulikia fomu na siyo mgombea.
Pili fomu za chadema deadline yake iwe wiki moja kabla ya deadline kamili ya tume ili kuakikisha mnajipa muda wa kutosha
wa kurekebisha in case likitokea lolote lile na pia swala la kurudisha isiwe jukumu la mgombea pekee bali kata nzima
ipewe jukumu la kuakikisha fomu hizo zinarudishwa on time.
kwa kuwa fomu zinalipiwa na chama basi ni mali ya chama kwahiyo mgombea asaidiwe na chama kujaza fomu na kuzirudisha kw kusaidiwa na chama kwahiyo uongozi mzima wa kata upewe jukumu l akushughulikia fomu na siyo mgombea.
Pili fomu za chadema deadline yake iwe wiki moja kabla ya deadline kamili ya tume ili kuakikisha mnajipa muda wa kutosha
wa kurekebisha in case likitokea lolote lile na pia swala la kurudisha isiwe jukumu la mgombea pekee bali kata nzima
ipewe jukumu la kuakikisha fomu hizo zinarudishwa on time.