nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Chadema hawa mpango mkakati wa kulikomboa taifa letu, wao wanafikiri Tanzania ni Arusha, kilimanjaro na mwanza tu, tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.
kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!
Itawachukua muda kidogo kukomaa!
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.
kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!
Itawachukua muda kidogo kukomaa!
ccm imewatenga wanaruvuma kwenye suala la maendeleo, kazi yake ni kuvuna kura na kuwawekea wabunge vihiyo kama kina kepteni komba, emanuel nchimbi na wenzake!Naisikitikia sana Tanzania yaani kiongozi mkubwa wa chama anatoa mipasho badala ya kuzungumzia mambo ya kupeleka maendeleo Ruvuma duh kazi ipo.
kwa kiasi fulani uko sahihi, tatizo la chadema mkoa wa ruvuma ni kwamba viongozi ngazi ya mkoa ni mizigo, wao ni kukaa tu, pia viongozi wa chadema wilayani mbinga wako kama picha tu, mi nadhani ni vizuri wananchi waamshwe ili kuwapa elimu ya uraia! Mbinga wabunge wanaenda kuchukua majimbo na si kugombea ubunge! Ndo maana wabunge wa mbinga ni mizigo kwa wananchi kama kayombo na komba, sijui wanafanya nini bungeni zaidi ya kupiga usingizi!Hii habari binafsi imeniuma sana.Ni wiki kama mbili tu zilizopita niliomba chadema kuja Ruvuma kufanya mikutano ya mfululizo.Tena katika mchango niliotoa niliwatahadharisha katika moja ya mada hapa JF kuwa kama haitafanya juhudi za makusudi basi kata ya Langiro iliyopo wilayani Mbinga itachukuliwa na CCM.Leo yanatokea haya.Inauma sana.Lazima chadema ibadilishe mwenendo huu wa kuwekeza eneo moja.Arusha kwa sasa wanajulikana sana.Ili kuondoa dhana ya ukanda kama kina Nape wanavyotutahadharisha inabidi watoke huko waje pia huku Ruvuma.Vinginevyo chadema itaendelea kuimbwa ni chama cha kikanda zaidi badala ya kuwa na sura ya kitaifa.Chonde viongozi wangu kama mnataka kusafisha hewa chafu ya kina Nape basi lazima mje kwa haraka huku kabla mwaka huu haujaisha.
Mafalili, kwa bahati nzuri kata ya Mianzini Chadema itashinda, wewe uko mbali sana kiongozi na kata hii na kama uko Dar karibu tukapimane nguvu, tunajua kuna vyama sita vimesimamisha wagombea, na ninakuhahidi kiongozi kwa kuwa siasa siyo chuki karibu pale Mianzini acha kujificha humu, njoo ukitetee chama chako cha Magamba......, lakini umemsikia mgombea wenu alivyo?.... hakya mungu Utacheka....mbaya sana ule mgogoro wao na mitaa migine, yetu macho.
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.
kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!
Itawachukua muda kidogo kukomaa!
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.
kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!
Itawachukua muda kidogo kukomaa!
Chadema hawa mpango mkakati wa kulikomboa taifa letu, wao wanafikiri Tanzania ni Arusha, kilimanjaro na mwanza tu, tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
Ha ha ha yan inaonyesha kabisa ww ni mtu wa chama cha mapinduzi........ndo maana umekuwa na shaka juu ya sisi chadema kuchukua nchi mwaka 2015
Nape ufafanuzi plz iyo kata unayoizungumzia ipo Ruvuma ipi?maana yaonekana ngeni kwa wana Ruvuma wengi isije kua mmeanzisha kata mpya maana hamchelewi nyie.
nakuunga mkono mkuu, aibu hii ni kwa viongozi wa chadema mkoani ruvuma kwa uzembe wa kutohamasisha chama, kazi yao ni kukaa tu maofisini. Pia uongozi Wa chadema wilayani mbinga ni kama picha tu!CHADEMA sio makao makuu jamani,wala sio Slaa na Mbowe,na msiwalaumu Viongozi kwamba wanaegemea Arusha tu,watu wa Arusha wamejikomboa,hawana woga tena,wameamua kujitoa mhanga,huko kwetu CCM inacheza rafu kwa kuona hakuna waliojitoa mhanga,mjue hii sio kazi rahisi,watu wapo jera,wasomi hawapo tayari kukijenga chama,wanataka mafaniko bila maumivu.....KILICHOTOKEA RUVUMA ni aibu ya wanaruvuma sio CHADEMA...kushiriki kuleta mabadiliko ni fahari ya mtu mwenyewe,sio ukae pembeni utegemee Dr Slaa na Mbowe ndo watazunguka Tanzania yote,haiwezekani.....NI AIBU YETU SOTE.
mkuu uko sahihi, nayakumbuka maeneo hayo, lakini kutoa elimu ya uraia katika eneo hilo ni wajibu wa viongozi na wanachama kwa wilaya hiyo ya mbinga, viongozi wa chadema mbinga ni kama hawapo vile, pia viongozi wa mkoa pia hawawajibiki katika kukijenga chama!hiyo kata ipo ukitoka maguu kata inayofuata lkn wananchi wengi wa hayo maeneo wana uelewa mdogo kisiasa kwa hiyo siyo ajabu chadema kukosa mgombea kwani ktk uchaguzi mkuu uliopita chadema walishinda kata ipi ktk wilaya nzima ya mbinga mbona mh sijakusikia ukiiongelea lizaboni pale songea mjini. Chadema naona wanadhibiti sehemu muhimu ndiyo maana 2010 walikula miji muhimu mbeya mwanza arusha iringa ubungo na kwingineko