CCM YAPITA KATA YA LANGILO RUVUMA bila kupingwa!

CCM YAPITA KATA YA LANGILO RUVUMA bila kupingwa!

Nape Nnauye ni mwongo, kule kwetu hatuna Langido, tunayo Langilo ipo wilaya ya Mbinga! Nape njoo utuambie ahadi....
umaskini wetu mtaji wa ccm! hakuna barabara wala huduma muhimu langilo!!
 
Last edited by a moderator:
Chadema, Chadema, Chadema... Nape we ni muenezi wa CCM.. Why should all your speeches start with Chadema? Kuna vyama vingine 18 ambavyo vilikuwa na mandate ya kuweka mgombea huko... Lakini asubuhi yote hii umekurupuka kitandani kuja kuandika kuhusu CDM. Kweli wamekushika pabaya...

Hoja mufilisi kabisa, yaani wewe unataka kumhubiri Mungu bila kumtaja shetani?!!!! Injili gani hiyo?
 
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.

kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!

Itawachukua muda kidogo kukomaa!
unatia aibu bro ni bora ukatulia uone unachofanya ni kizuri au vp me naona unakurupuka bila kufanya tathimin unachokiongea kwan sidhan kama kuna umhim wowote wa kudiri na chadema kias hicho,JIPANGE BRO NI USHAURI TU
 
msemaji wa chadema kanda mahalumu ya JF bwana mdogo SAA 8 yupo wapi aje atueleze kwanini wamepeleka chpoa Nne Arusha, kuacha wanasongea bila mgombea?? au watu wa Arusha wana umuhimu zaidi ya Songea?? shame on you Slaa kwa kushindwa kuweka mgombea huko Ruvuma
 
Ruvuma ni mbali na makao makuu ya CHADEMA hivyo wanapaswa kusamehewa huko chama hakijafika kikamilifu; shangaa hata kata ya Mianzini, wilayani Temeke, mkoani DSM inasadikiwa CHADEMA hawatii nguvu yeyote kugombea udiwani; WAO ni ARUSHA tu; haya ni maajabu ya CHADEMA

Mafalili, kwa bahati nzuri kata ya Mianzini Chadema itashinda, wewe uko mbali sana kiongozi na kata hii na kama uko Dar karibu tukapimane nguvu, tunajua kuna vyama sita vimesimamisha wagombea, na ninakuhahidi kiongozi kwa kuwa siasa siyo chuki karibu pale Mianzini acha kujificha humu, njoo ukitetee chama chako cha Magamba......, lakini umemsikia mgombea wenu alivyo?.... hakya mungu Utacheka....mbaya sana ule mgogoro wao na mitaa migine, yetu macho.
 
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.

kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!

Itawachukua muda kidogo kukomaa!

ukiona ukilala ukiamka wewe ni kuiongelea chadema ujue umeshakufa kifikra,yaani wewe ni chadema tu wakati wao wanaeleza mambo yao kwa wananchi nyie vichwa vibovu mnawaongelea wao tu,duuhh kweli chadema imewashika pabaya,vipi safari hii mmeshatengenaza filamu ipi tena? maana ile ya ugaidi imekufa tupe mpya inayokuja basi mkuu!
 
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.

kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!

Itawachukua muda kidogo kukomaa!

Aina ya elimu na jinsi ulivyosoma ina-suggest vitu unavyoongea na kuandika mitandaoni! Naivety and cheap propaganda na unatuaminisha wengine tusio kuwepo kwenye siasa tujue aina ya watu waliopo huko ni wa aina yako!
 
Chadema, CUF,TLP et al wajibu kwanini hawakumweka mtu
hata hivo Nape kwa cheo chako ukitangaza wewe
ushindi wa kata, je katibu wa chama wilaya atakuwa na kazi gani?
huoni unajishushia heshima?
 
Hapa si kumbeza Nape ,swali ni kwa nn hatuna mgombea kwenye hiyo kata,hatuwezi kuendelea kujifariji kwa uzembe wa namna hii na baadae tuanze kutafuta sababu,ikumbukwe chama kimepuuzia matokeo ya awali (kushindwa) kwa wanachama wetu kwenye uchaguzi wa mabaraza ya katiba,kwa mtu yeyote mkweli na anayefikiria kwa kina uchaguzi ule ulikuwa kipimo cha uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na tulichovuna ndicho hicho tutakachovuna hapo mwakani iwapo juhudi za makusudi hazitachukuliwa.Rai yangu Chadema ihimize uchaguzi wa ndani ya chama watu wenye moyo wa kufanya kazi wapatikane na tuachane na hawa wanaofanya kazi kwa mazoea.J2 njema.
 
Chadema, CUF,TLP et al wajibu kwanini hawakumweka mtu
hata hivo Nape kwa cheo chako ukitangaza wewe
ushindi wa kata, je katibu wa chama wilaya atakuwa na kazi gani?
huoni unajishushia heshima?
Ametoa tu taarifa na siyo kutangaza ushindi. Ni jukumu lake kufanya hivyo. BTW, hata atangaze nani, hali halisi haibadiliki! CCM ni washindi, na wataendelea kuwa hivyo daima!
 
Hoja mufilisi kabisa, yaani wewe unataka kumhubiri Mungu bila kumtaja shetani?!!!! Injili gani hiyo?

Kwa kuwa Siasa siyo chuki kama unavyotaka kuwaaminisha watanzania, ifike mahali Nape uwe uzalendo...., ina maana wewe haujui kwamba chadema ni lazima iwekeze target area, unadhani ni nani asiye jua kwamba Arusha mnaitolea Macho? Nape hizi ni siasa kiongozi, ila nafurahi kwamba hata wewe moyoni mwako unajua kwamba 2014......2015 ndani ya chama chako utakuwa na kazi, Nape pia nilazima ujue zile rafu zenu siyo nzuri hata kidogo, yaani mgombea wetu kuchelewa kurudisha fomu tu... eti tayari imekula kwetu, inasikitisha sana.
 
Katika hali inayodhihirisha kuwa Chadema wana kufa kwa kasi ya ajabu, wamefikia mahali pa kushindwa kuwa na mgombea wa Udiwani kata ya Langido mkoani Ruvuma kiasi cha kuifanya CCM ipite bila kupingwa na hivyo kuanza na kata moja tayari kati ya kata 26 zinazofanya uchaguzi mdogo.

kama watani hata kusimamisha mgombea tu kwenu inakuwa tabu tena wa kata kweli mko serious kutaka kuaminiwa kukabidhiwa nchi? Hili limenifanya nikumbuke maeneo kibao mwaka 2010 ambayo majimbo na kata hamkusimamisha agombea au mliwatelekeza pale mliposimamisha! Na sasa nasikia nguvu kubwa mnapeleka Arusha!!!!! Mwenye akili na atafisiri hili!

Itawachukua muda kidogo kukomaa!
Mkuu naona ukilala unaota CHADEMA,angalia isije ikafikia ukiwa FARAGHA na SHEMEJI ukabwatuka CHADEMA,CHADEMA!
CHADEMA YATOSHA!
 
Mafalili, kwa bahati nzuri kata ya Mianzini Chadema itashinda, wewe uko mbali sana kiongozi na kata hii na kama uko Dar karibu tukapimane nguvu, tunajua kuna vyama sita vimesimamisha wagombea, na ninakuhahidi kiongozi kwa kuwa siasa siyo chuki karibu pale Mianzini acha kujificha humu, njoo ukitetee chama chako cha Magamba......, lakini umemsikia mgombea wenu alivyo?.... hakya mungu Utacheka....mbaya sana ule mgogoro wao na mitaa migine, yetu macho.

Leo ni jumapili; uwe mkweli katika kata ya mianzini CHADEMA hampo makini, hata mgombea mmeokota barabarani ni mtu asiye na hekima, busara wala sifa za uongozi. Haishangazi CHADEMA kuwa na wagombea wasio makini kwa vile viomgozi wenu katika ngazi za chini ni wababaishaji ambao wana historia chafu ndani ya jamii inayowazunguka, HIVYO hawachaguliki
 
Back
Top Bottom