CCM yapata aibu kubwa huko Temeke

CCM yapata aibu kubwa huko Temeke

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.

Tiba

Sijaona bus terminal kula yanakoenda mabasi mengi ya temeke, sijui Tandika, ni kituo kikubwa kila ruti inapanki mtaa wake. Nilipata taabu karibu dakika kumi sijajua basi ninalotaka kupanda linapaki wapi, wapi yanageuza,nk, yaani ovyo kabisa kana kwamba hakuna viongoze wenye akili timamu kuweka mambo sawa huko.

Shauri ya kuchukua bock moja na kuwalipa fidia wenye nyumba kisha kuweka kituo cha mabasi, lakini kuendelea kama ilivyo ni kuumiza abiria.
 
Mbunge wa Temeke mh, Abasi Mtemvu na diwani mh. Zena Mgaya jana walipata aibu kubwa katika kata ya Tandika baada ya kuhutubia watu kumi katika viwanja vya Mbonde yangu macho.



Mtevu amewadanganya wananchi wa Temeke kwamba Temeke kuna barabara nzuri kuliko Masaki na mwisho kaishia kuwatuhumu
CHADEMA kwamba wanawadanganya watu wa Temeke kwamba CCM aifai.
.
View attachment 134996

Aibu ya chama cha siasa hupimwa kwenye sanduku la kura.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.

Tiba

Ana 'kuchum'?
 
Sina uhakika sana kama dada Tiba kama unaishi Temeke na hisi na wewe pia unaishi Kawe na Mtemvu, je Temeke inafanana na Kinondoni mnako hishi nyinyi au ndio mmefanya wanatemeke makarai yenu, kwamba sisi ni wajinga sana umefika kilakala, vituka, Buza ,keko kurasini ,mibulani na changombe niwapi kunalami kila kichocholo kama sio kwa mama yake mzazi kata ya Azimio tu.

Mkuu umenena na huo ndio ukweli.
 
Tnahitaji elimu zaidi kuhusu majukumu na wajibu wa Mbunge, Madiwani, Halmashauri ya Wilaya/Manispaa na pia wananchi kujua wajibu wao katika maendeleo ya maeneo yao!!!!
 
Sijaona bus terminal kula yanakoenda mabasi mengi ya temeke, sijui Tandika, ni kituo kikubwa kila ruti inapanki mtaa wake. Nilipata taabu karibu dakika kumi sijajua basi ninalotaka kupanda linapaki wapi, wapi yanageuza,nk, yaani ovyo kabisa kana kwamba hakuna viongoze wenye akili timamu kuweka mambo sawa huko.

Shauri ya kuchukua bock moja na kuwalipa fidia wenye nyumba kisha kuweka kituo cha mabasi, lakini kuendelea kama ilivyo ni kuumiza abiria.

Mkuu pole kwa hiyo adha uliyoipata. Kuna haja ya kuwashauri wahusika (Mbunge, Mkurugenzi wa jiji, Madiwani na Meya) kulifanyia kazi hili. Bus stend ni muhimu sana iwepo.

Tiba
 
Back
Top Bottom