CCM yapata aibu kubwa huko Temeke

CCM yapata aibu kubwa huko Temeke

Siamini kama huyo Mbunge alijenga hizo barabara kwa pesa za mfukoni mwake! Pesa zinazojenga barabara hizo ni zile za walipo kodi wote wa Tanzania. Mbuge huyo alibahatika tu kurithi jimbo ililokuwa na barabara nyingi za lami!! Nani mwenye nia Njema CCM? Wote wezi tu wa mali za umma. Na hiki ndicho kilichowafanya wana Temeke wasusie mkutano wake jana.

Kumbe hata cdm wakishika dola hawatajenga bali tutajenga watz kwa kodi zetu. Ngoja tu ccm aendelee kuongoza...
 
Aibu gani wamepata hivi kuna aibu kama kupora mke wa mtu na kutelekeza familia au kuzaa nje ya ndoa.
naona unajaribu kuhamisha mada buraza. kubali tu watu wametuchoka. (from a ccm member)
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.
Tiba
Hizo barabara wanajenga kwa pesa yao?
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.

Tiba
Tiba wewe yaelekea siku moja ulitokea Mbagala kwa kukwepa foleni ukapitia Temeke Mikoroshoni ndiko kuna barabara za 2 za lami uchochoroni .Usiwaudh Wandengereko watakuloga
Mimi nnachojua ni kwamaba Mtemvu anawatafutia ajira vijana wa Temeke huko Uarabuni!
 
Kumbe hata cdm wakishika dola hawatajenga bali tutajenga watz kwa kodi zetu. Ngoja tu ccm aendelee kuongoza...
dah! jamiiforums imevamiwa. siamini kama kuna great thinker anaweza kufukiri namna hii. chama cha siasa hakitengenezi pesa, bali huchukua wajibu wa kuongoza serikali, na kusimamia mapato yanayotokana na sasilimali za nchi (ikiwemo kodi zetu) ili kutekeleza sera za kuwakwamua wananchi wake kiuchumi........., ambapo ccm kazi hiyo imetushinda. (ingwa tumejitahidi kwa asilimia 0.00000000001)
 
Acha kutuzugz tuna macho ya kuona ,mbona watu nyomi.Mpaka wamesimama nje ya turubai ambalo ndio ilikuwa makadirio yetu ya awali.Hivyo tumevuka lengo

Pia ukichukulia kuwa hatukusomba watu kwa maroli wala kugawa buku mbili, mbili na ubwabwa kwa maharage!!
 
Mnaizungumzia Temeke ipi jamani,huku ni kama tuko pembezoni mwa Tanzania maji ya Dawasco cjui mara ya mwisho tuliyanywa lini from 1980's daaaaaaa
 
Aibu gani wamepata hivi kuna aibu kama kupora mke wa mtu na kutelekeza familia au kuzaa nje ya ndoa.

Vipi kuhusu aibu ya kumbaka mwanfunzi na kumpa ukimwi kama alivyofanya kada mkongwe wa CCM Mh. Kapuyanga?
 
mbunge wa temeke mh, abasi mtemvu na diwani mh. Zena mgaya jana walipata aibu kubwa katika kata ya tandika baada ya kuhutubia watu kumi katika viwanja vya mbonde yangu macho.



Mtevu amewadanganya wananchi wa temeke kwamba temeke kuna barabara nzuri kuliko masaki na mwisho kaishia kuwatuhumu
chadema kwamba wanawadanganya watu wa temeke kwamba ccm aifai.
.
View attachment 134996

balaa, yangu macho kuelekea hiyo 2015. Kama kuna mbunge wa ccm atakayerudi bungeni basi ni anne kilango na filikunjombe
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.

Tiba

Temeke Ipi au hata hii ya Kigamboni??!! Maana hali mbaya Kigamboni!!!!
 
Hebu tujuze, anatoa wapi hela? Nijuacho mimi miradi yote inatekelezwa kwa fedha za Halmashauri inazopata kupitia kodi na ruzuku (kama ipo) toka Serikali Kuu. Halmashauri ya TMK ina mpango kazi wake na vipaumbele vyake. Hivyo miradi ya barabara inatekelezwa baada ya kupitishwa na baraza la madiwani. Anachofanya Mbunge/Diwani ni kusimamia na kupaza sauti za wananchi waliomchagua basi, si kutoa hela mfukoni mwake!

Mkuu tuko pamoja. Hakuna mahali nimesema Mtemvu alitoa hela yake mfukoni kujenga barabara. Kama aliweza kupaza sauti za waliomchagua na baraza la madiwani wakatenga fungu kubwa kujenga barabara kwanini asipate credit kwa hilo? Mbona sehemu nyingine za jiji kama Kinondoni na Ilala barabara nyingi bado ni za vumbi tu?

Kwa maoni yangu anastahili pongezi.

Tiba
 
kama TEMEKE yenye vijana wengi wanaoona KARIBU imefanikiwa kujiepusha na CCM , basi hiyo ni hatua nzuri sana ! Huu ndiyo mwisho wa MTEMVU temeke , amewadanganya wapangaji wa nhc kwamba watauziwa nyumba wanazokaa huku akijua kwamba hana uwezo huo , na sasa kila mpangaji anayo NOTISI inayomtaka awe ameondoka kwenye nyumba kabla ya juni 2014 , akafie mbele ! Mtemvu amehakikisha kata ya KURASINI INAMALIZWA KUUZWA KWA BEI RAHISI , kisa ! umasikini wa wakazi wake ! KAMA MBUNGE AMESHINDWA KABISA KUWASAIDIA WANANCHI WA KURASINI , 2015 HATUTAKI LAWAMA .
 
Aibu gani wamepata hivi kuna aibu kama kupora mke wa mtu na kutelekeza familia au kuzaa nje ya ndoa.

Nyani haoni kundule! Huko CCM ndo kuna vibaka wa kutupwa!! Yule jamaa ambaye anamtoto mchanga anayenyonya unasemaje. Ni mwaminifu katika ndoa yake!! masuala ya social ni very sensitive kibinadamu!!
 
Tiba wewe yaelekea siku moja ulitokea Mbagala kwa kukwepa foleni ukapitia Temeke Mikoroshoni ndiko kuna barabara za 2 za lami uchochoroni .Usiwaudh Wandengereko watakuloga
Mimi nnachojua ni kwamaba Mtemvu anawatafutia ajira vijana wa Temeke huko Uarabuni!

Mkuu weka kumbukumbu sawa sema Mtemvu anawasaidia vijana kwenda "utumwani" huko Uarabuni.

Tiba
 
Tiba wewe yaelekea siku moja ulitokea Mbagala kwa kukwepa foleni ukapitia Temeke Mikoroshoni ndiko kuna barabara za 2 za lami uchochoroni .Usiwaudh Wandengereko watakuloga
Mimi nnachojua ni kwamaba Mtemvu anawatafutia ajira vijana wa Temeke huko Uarabuni!

mjomba , nimecheka sana ! Hivi kupiga deki vyoo vya waarabu nayo ni ajira ? Mtemvu bhana !
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.
Tiba
Mtemvu ndiye mbunge pekee wa Dsm atakayerudi mjengoni mwaka 2015

 
Mkuu weka kumbukumbu sawa sema Mtemvu anawasaidia vijana kwenda "utumwani" huko Uarabuni.

Tiba
Mzungu ndiye aliyeleta utumwa angalia mabaki ya watu weusi yako wapi katika mabara ya dunia ?
 
Mzungu ndiye aliyeleta utumwa angalia mabaki ya watu weusi yako wapi katika mabara ya dunia ?

Mkuu sikuzungumzia aliyeleta utumwa, nimezungumzia mazingira wanayofanyia kazi hao wanaopelekwa huko Arabuni na akina Mtemvu. Sasa hivi ni kwamba mtindo umebadilika, badala ya waarabu kuja kuchukua watumwa huku, sisi wenyewe tunatafuta visa, tunatafuta nauli kuufuata huo utumwa.

Tiba
 
Kama kweli alisema tml kuna bara bara nzuri kuliko masaki...basi ccm imekufa kisera
 
Back
Top Bottom