Siamini kama huyo Mbunge alijenga hizo barabara kwa pesa za mfukoni mwake! Pesa zinazojenga barabara hizo ni zile za walipo kodi wote wa Tanzania. Mbuge huyo alibahatika tu kurithi jimbo ililokuwa na barabara nyingi za lami!! Nani mwenye nia Njema CCM? Wote wezi tu wa mali za umma. Na hiki ndicho kilichowafanya wana Temeke wasusie mkutano wake jana.
Kumbe hata cdm wakishika dola hawatajenga bali tutajenga watz kwa kodi zetu. Ngoja tu ccm aendelee kuongoza...