CCM yapata aibu kubwa huko Temeke

CCM yapata aibu kubwa huko Temeke

Mtemvu namkubali,ila amepanda gari bovu.Huo ndio mwisho wa chama chetu,ila tutahamia chadema muda si mrefu,tunaomba mbakishe kadi za kutupokelea huko chadema
 
Ccm haijawahi kuwa na watu wengi kwenye mikutano yake fanya tathimini yako vema,tambua ccm inawapiga kura wengi kuliko chama chako unachoshabikia na ndio maana siku ya kura wanajitokeza wengi kwenda kukipigia kura ccm na si mikutano.Endelea kupiga picha za watu walivyojaa kushangaa chopa ila 2015 ccm inachukua nchi.
 
Wakazi wa Dar si kama wale wa vijijini kukubali kusombwa kwenye malori na baada ya mkutano pilau la maharage - dar wajanja.
 
Mzungu ndiye aliyeleta utumwa angalia mabaki ya watu weusi yako wapi katika mabara ya dunia ?

Mkuu mabaki ya watu weusi??
Nafikiri ulimaanisha mazalia ya mabaki ya watumwa amnqo hata hivyo sio watumwa tena bali ni raia wa nchi husika.
Lakini inasemekana watumwa waliopelekwa Uarabuni hawakurusiwa kuoana isipokuwa walikuwa wakibakwa na kuuawa na mabwana zao huko. I remain to be corrected if I'm wrong.
 
Hivi anazungumzia Temeke jimbo la uchaguzi au Temeke wilaya? Kama ni wilaya safari ya barabar za lami bado haijaanza. Tembelea Mbagala uone!
 
Karibu rumumba kuna elf kumi kumi zenu hapa
 
Mtasugua sana benchi kwa kuisema ccm!

Chadema kuna viongozi wahuni wengi sana!

Demokrasia kwao imekuwa kama mtihani!
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kusema kweli mimi binafsi nina m-admire mbunge wa temeke kwa kazi nzuri ya kuhakikisha barabara zinakuwa za lami kwenye vichochoro vyote. Kwa hili nampongeza huyu mbunge. Hakuna wilaya ambayo barabara zake nyingi ni lami kama temeke.

Tiba
Utajiju, hiyo imewekwa kwenye vichochoro vya.ko!
 
Kumbe hata cdm wakishika dola hawatajenga bali tutajenga watz kwa kodi zetu. Ngoja tu ccm aendelee kuongoza...
.

Mpuuzi kweli wewe! Hiki si ndo kitu Chadema wanachopigania? Kodi za wananchi zitumike kikamilifu kwa manufaa ya nchi nziama, sio Temeke tu, sio dar tu, ila kila mahali Tanzania! Ccyem wanajenga sehemu chache tu, sehemu kubwa ya kodi zetu ziko mifukoni mwao!! wang'olewe haraka sana panya hawa!
 
Back
Top Bottom