Nianze kwa kupokea lugha isiyo ya kistaraabu kwa ndugu yangu aliyeniambia kuwa naanza na post moja kwa majungu, labda hatukuelewana. binafsi nilikuwepo eneo la mkutano ninachouliza kwa jinsi mkutano ulivyokuwa mkubwa na watu walivyokuwa wametulia wakimsikiliza kijana bashe akielezea maneno matamu kwa watu wa nzega,na tumezoea kuona watu wakiwa wanataka madaraka hutumia lugha ambali mbnali kama vile nimetumwa na Mzee wa ikulu kugombea , nimeitwa na wazee kugombea nk, swali kwa watu wa Nzega ni kuwa bashe katumwa na nani maana hata mi binafsi nilikuwepo eneo husika kama nilivyosema na nilivutiwa sana na ujasiri wa bashe wa kumiliki jukwaa npia kwa uchambuzi wa mambo mbali mbali kitu ambacho mbunge wetu wa jimbo amekuwa akikwepa mikutano ya hadhara na mara kadhaa amekuwa akidandia kazi zifanywazo na serikali na kusema kuwa amezifanya yeye. inawezekana nyuma ya bashe yupo mungu maana watu wa nzega tumetaabika vya kutosha , umeme wa Ndalla unasua sua kwa Mbunge wa jimbo kufanya kazi za kitaifa zaidi nyingine hazitusaidii sisi wa mwaka shahara. HONGERA SANA BASHE NYUMA YAKO YUPO MUNGU!