Sina tatizo na wagombea wote wa UVCCM isipokuwa kwa uchambuzi wa ndani kabisa haiingii akilini kwa wagombea wawili Beno na Kawawa Jnr kugombea nafasi hizo, kwanza wote niliowataja tayari ni wa NEC wakuchaguliwa kupitia kundi la vijana nafasi wanayogombea inampa mshindi nafasi ya kuwa mjumbe wa NEC.
BAshe si mjumbe wa NEC hivi kwa akili ya kawaida kabisa kwa nini wajumbe wasimchague Bashe kwa maana halisi ya kuongeza uwakilishi wa vijana katika NEC?
BAshe si mjumbe wa NEC hivi kwa akili ya kawaida kabisa kwa nini wajumbe wasimchague Bashe kwa maana halisi ya kuongeza uwakilishi wa vijana katika NEC?