Siyo kwamba anayehisi anakiweza hicho cheo agombanie, badala yake chama ndiyo kinapendekeza wa kuwania hicho viti?
Kwani wenyewe vigezo ni hao hao tu?
Cc: mahondaw
Kama vile ambavyo kura za wananchi hazikuamua Washindi wa Ubunge Majimboni kama tulivyozoea, naona mnaendeleza tu tabia zenu za ajabu.Wamechukua fomu kama kawaida na chama kimewaidhinisha!
Tofauti ni kuwa Wabunge wateule wa Chama tawala safari hawajapiga kura kama tulivyozoea
Kidumu chama tawala
Kama vile ambavyo kura za wananchi hazikuamua washindi wa ubunge majimboni kama tulivyozoea, naona mnaendeleza tu tabia zenu za ajabu.
CCM kinahakikisha wenye vigezo na uzoefu wa kuendeleza Bunge dhaifu lazima wawe wanaojulikana, Wabunge wengine wa CCM walioomba nafasi hizo ni vilaza pia lakini hawana uzoefu hata wa Bunge dhaifu maana ndo wanaingia Bungeni mara ya kwanza baada ya Uchafuzi uliopita. Viongozi wazuri wa Bunge wenye nguvu watalitoa Bunge toka Ikulu!Siyo kwamba anayehisi anakiweza hicho cheo agombanie, badala yake chama ndiyo kinapendekeza wa kuwania hicho viti?
Kwani wenyewe vigezo ni hao hao tu?
Cc: mahondaw
Kamati Kuu ya CCM imempendekeza Job Ndugai kuwa mgombea wa nafasi ya Spika wa Bunge lijayo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Dk Tulia Ackson akipendekezwa kwa nafasi ya Naibu Spika
View attachment 1620890
View attachment 1620891
View attachment 1620892
View attachment 1620893
Kikao cha chamaAlisema watamlazimisha hata kama hataki.
Hilo bunge miaka 5 litakuwa na vijembe kwa Mbowe tu
Deal doneKamati Kuu ya CCM imempendekeza Job Ndugai kuwa mgombea wa nafasi ya Spika wa Bunge lijalo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Dk Tulia Ackson akipendekezwa kwa nafasi ya Naibu Spika
View attachment 1620890
View attachment 1620891
View attachment 1620892
View attachment 1620893
Magufuli anataka Ndungai awe sipika, kumbuka kuwa ameshikila taa ya Alladin. Analotamka linakua.Siyo kwamba anayehisi anakiweza hicho cheo agombanie, badala yake chama ndiyo kinapendekeza wa kuwania hicho viti?
Kwani wenyewe vigezo ni hao hao tu?
Cc: mahondaw