Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Kiini macho hiki, hamna ushahidi wowote?
Muasisi pekee wa siasa za visasi; vita vya mapanga mashoka na sasa bunduki live live nchini.Siasa za polepole ni za kitoto mno
Siasa ni propaganda, watasema aliomba kwa mazungumzo mdomoni kupitia wana CCM tofautitofauti.Fanyeni kitu kimoja tuamin
1.tunaomba barua ya mzee kutaka kurudi CCM
2. Pia tupini barua yenu ya kumkatalia
Oooooh nilisahau kumbe ni gazeti la uhuru ndo limeandika bora nichukue daftari la mtoto wa chekechea nisome kuliko hilo gazeti
Acha kuota,Humphrey Polepole waweke hadharani barua ya maombi ya LOWASSA kujiunga Na CCM, Kinyume Na hapo ni u shilawadu
Mwenzako anakwenda hadi ikulu wewe hata kugusa ukuta huruhusuwi. Kwahiyo kama atapaka mavi maana yake rais anapokea mavi ikulu?lowasa asrud atakipaka chama mavi
Hivi hili gazeti bado lipo kweli.!? Cz siku hizi hata kwenye kufungia vitumbua au chapati sijaliona muda mrefu sana.Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.
Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.
Shit hole. Yani tundu la choo.Gazeti ni Uhuru, Msemaji ni Pole Pole...... Trump alisemaje kumbe??
Kaomba radhi wapi na lini?
Issue bado ipo pale pale tubuni
Sio onyesha andika onesha!
Maana yake alikuwa CCM na kuondoka, kwahiyo kurudi kwake ni kurejea CCM akitokea Chadema.Anarejea kutoka wapi?
Wewe umetubu? Maana yale mambo unayofanyiwa obvious unastahili kutubuMwambie rais akatubu kwanza
Swissme

MTU anayemuamini huyu mnafiki basi akapimwe akili.Alafu ndiyo mwenezi
Kakobe hajaandika barua ya kuomba radhi, we pimbi wa akili.Maswali hayo kamuulize aliekiri kuandika Barua ya kuomba radhi
Kakobe asitawale Uzi huu.Anzisheni Uzi wake.Kakobe hajaandika barua ya kuomba radhi, we pimbi wa akili.