CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

Hata aibu huna kweli umasikini ni pepo baya sana. Mtu aliye tajiri wa fikra hawezi kushawishika kwa ujinga wa sampuli hii ya Pole pole. Kweli ccm imebakwa.
 
Hata aibu huna kweli umasikini ni pepo baya sana. Mtu aliye tajiri wa fikra hawezi kushawishika kwa ujinga wa sampuli hii ya Pole pole. Kweli ccm imebakwa.
Kwa taarifa nyeti kama huna habari ni kwamba Polepole anafikiriwa eti naye anaweza kuwa miongoni mwa watu watakaomrithi Magufuli mwaka 2025. Kikwazo chake anadaiwa ni waziri mkuu Majaliwa.
 
Kwa taarifa nyeti kama huna habari ni kwamba Polepole anafikiriwa eti naye anaweza kuwa miongoni mwa watu watakaomrithi Magufuli mwaka 2025. Kikwazo chake anadaiwa ni waziri mkuu Majaliwa.
Siwezi kukubishia maana kwa ccm hilo linawezekana. Kama waliweza kumchagua waziri wa elimu ambaye hajui hata alizaliwa wapi na wazazi wepi yule jamaa mwenye shule nyanda za juu kusini. Watashindwaje kwa hilo. Yawezekana.
 
Mkuu kumbe mwenzetu una mlango wako wa fahamu unaotumia kusikilizia tofauti na sisi wenzako tunaotumia masikio. Mimi kwa clip ile ya Askofu nimemsikia akisema hivi "maneno niliyoyatoa kwenye mahubiri tarehe 25 december yatabaki hivyo hivyo mpaka nakufa, sitakaa kuomba msamaha kwa hilo mpaka nakufa, na nife sijafikia huko kuomba msamaha". Sasa mwenzetu huo msamaha kaiombea wapi?
Mwambieni aweke hadharani copy ya Barua aliyopeleka Ikulu
 
Huyu Jamaa slow slow si mstaarabu kabisa. Hana adabu kwa wakubwa zake. Ngoja apate laana kwanza
 
Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.

Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.



Boss Freed Freed Kiswahili haujui kwani ??? !!! "Tulikataa kumpokea Mzee wa Monduli". Kuna tofauti kubwa kati ya Tulikataa na Tumekataa. Wanaweza kuruka maneno hayo. Tulikataa ni wakati uliopita, Tumekataa ni wakati wa sasa. Kiswahili ni kigumu.
 
Boss Freed Freed Kiswahili haujui kwani ??? !!! "Tulikataa kumpokea Mzee wa Monduli". Kuna tofauti kubwa kati ya Tulikataa na Tumekataa. Wanaweza kuruka maneno hayo. Tulikataa ni wakati uliopita, Tumekataa ni wakati wa sasa. Kiswahili ni kigumu.
Umenizindua!! Ina maana kwa hali ilivyo sahivi huko lazima wampokee kila mtu.
 
Kumbe ndo maana maandamano ya kumpinga raisi kila kukicha ...kutaifisha mali za afisadi wa vyama vya ushirika ni lazima wanune, lakini mh. hatakiwi kumtizama mtu usoni kama ilivyo ukitaka kumchinja kobe sharti usimtizame usoni
 
Kumbe ndo maana maandamano ya kumpinga raisi kila kukicha ...kutaifisha mali za afisadi wa vyama vya ushirika ni lazima wanune, lakini mh. hatakiwi kumtizama mtu usoni kama ilivyo ukitaka kumchinja kobe sharti usimtizame usoni
Hao mafisadi wenyewe hawakamatwi wala mahakama yao kuundwa kama tulivyoahidiwa.
 
Back
Top Bottom