CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.

Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.

Ni ukoo huu huu uliosema Kakobe alimuomba Sizonje msamaha, Kakobe akakanusha... Wana PhD ya uongo huu ukoo...
 
Uongo hawathubutu kutaja
mbona hawataji jina la Edward Lowassa wanasema "Mzee wa Monduli "

badala yake mtu anayetajwa jina la marehemu kingunge ngombale mwiru......

Sishani kama leo gazeti wameuza ........
 
Umedanganywa kizembe sana !

Ulidanganywa ni wewee!

Kakobe Sasa anawadanganya Eti aliandika barua tu ya kichungaji lakin anakiri ilikuwa Siri Hata Viongozi wenzie hawajui Kama kaandika Barua hiyo ya Siri Ikulu!

Bila ya TRA kufichua Siri ungejua Kama kaandika 'Barua ya Siri ya Kichungaji'?
 
Ni ukoo huu huu uliosema Kakobe alimuomba Sizonje msamaha, Kakobe akakanusha... Wana PhD ya uongo huu ukoo...

Ila Kakobe kakiri aliandika Barua ya Siri Ikulu ambayo anasema Hata Viongozi wenzie wa Kanisa hawajui Sasa Mtu mzima jiongeze Barua gani hiyo ya Siri ambayo Hata wenzie hakuwaambia mpaka TRA walipofichua?

Akili za kuambiwa changanya na za kuazima Kama za kwako ni chache
 
Ila Kakobe kakiri aliandika Barua ya Siri Ikulu ambayo anasema Hata Viongozi wenzie wa Kanisa hawajui Sasa Mtu mzima jiongeze Barua gani hiyo ya Siri ambayo Hata wenzie hakuwaambia mpaka TRA walipofichua?

Akili za kuambiwa changanya na za kuazima Kama za kwako ni chache
Its simple... Kashakanusha hadharani kuwa hakuomba radhi, so evidence ya barua aliyoandika iwekwe, vinginevyo hiyo ni propaganda kama nyingine...
 
Unafiki
da15e08f48154ba32fc449cef517d7d4.jpg
 
Huyu anamzidi yule waziri wa ulinzi wa Iraq wakati wa Saddam Hussein wa urongo
 
Akirudi watamwachia agombee urais? EDO anataka urais sio kitu kingine
 
Hivyo ndivyo asemavyo Polepole. Nijuavyo mimi (na habari hizi ni za uhakika), alipewa bilioni 7 arudi CCM. Yeye akasema kama wanataka arudi wampe billioni 300 na si senti moja chini ya hapo. Biashara ikaota mbawa!

Kwa credibility ya Lowassa kwa sasa jambo hili unalosema hapa haliwezekani hata kidogo. Had it been kwamba uwepo wa Lowasa Chadema unawasumbua CCM they could bother to hunt him kwa gharama kidogo sana au ahadi ya cheo ndani ya system i.e mshauri wa siasa or so. Kwa hali iliyopo sasa no one within CCM will waste money to buy a liability!
 
Total Crap
Makufuli majuzi alimwita Lowassa Ikulu kumshawishi arejee Fisiemu leo haka kamtu kanaongea utumbo gani?
 
Back
Top Bottom