Baba musa333
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 423
- 238
Hahahah ccm inavyopenda kiki mda snaaa wangeshampokea
Polepole awache brabra anafikiri anawadanganya vijana wake wa lumumba?Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.
Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.
Walio hamia upinzani ni mizigo,wakirudi ccm wanaitwa mashujaaHatupokei oil chafu by f.mbowe
Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.
Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.
ni gazeti la lumumba sa sa unashangaa kitu ganiGazeti la Uhuru ni moja kati ya magazeti ya hovyo kuwahi kutokea katika ulimwengu huu
Hana lolote huyo ni mlopokaji tuHumphrey Polepole waweke hadharani barua ya maombi ya LOWASSA kujiunga Na CCM, Kinyume Na hapo ni u shilawadu
Mzee baba, hao wanao wataleta kipindupindu nyumbani kufungia chakula kwa kutumia makaratasi yanayopitia mazingira mbalimbali hatarishi.
Ficha ujinga wakoMwambie rais akatubu kwanza
Swissme
Na wewe unamwamini Chakubanga?Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.
Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.
Tajiri yenu Lowassa aliulizwa na Rais Kama Yeye ndio huwa anayatuma Makarai kutukana Mitandaoni aliwakana kuwa huo ni ulimbukeni wenu wenyeweacha uzushi na uongo wewe baamed wa lumumba
Akili yako unaijua mwenyewe. Labda aliomba msamaha chumbani kwako. Tuliosikia alichosema Kakobe ni kuwa hajawahi kuomba msamaha. Ameongeza kusema kuwa ni vema afe kabla ya kuomba msamaha.
Maajabu hayaishi,CCM wanakubali kuwapokea madiwani ambao hata kwenye ramani ya Tanzania hawajulikani eti wanamkataa mtu aliye watoa makamasi kwenye uchaguzi.Habari kutoka kwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, ni kuwa wamekataa ombi la mzee wa Monduli kurejea CCM.
Source: Gazeti Uhuru. Ukurasa wa mbele leo.
Ficha ujinga wako
onyesha tusi liko wapi wewe hamdani si rizkiTajiri yenu Lowassa aliulizwa na Rais Kama Yeye ndio huwa anayatuma Makarai kutukana Mitandaoni aliwakana kuwa huo ni ulimbukeni wenu wenyewe