CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

Hichi chama kingepumzika kwanza kidogo jamani
 
Siyo siri lengo la CC ya CCM ni kuhakikisha wanapandikiza wajumbe wa kumwangusha EL
 
Hizi hela walizomwaga mikoani kukusanya watu na wadhamini zitalipwaje? wengine hatujalipwa huku!!!!!
 
Wanaend kubandua tu mademu dodoma hakuna cha maana
 
Hi movie yote ni LOWASSA tu, naanza kuhisi JK anamuogopa sana Lowassa; swali nililo nalo kichwani ambalo bado nalitafutia jibu ni hili; hawa jamaa walikua maswahiba sana hata tukawabatiza jina la Boys ii Men; imekuaje JK hataki kabisa jamaa aingie Ikulu? Kuna watu hapa watasema kwasababu mamvi ni fisadi, hivi JK ana usafi gani, ya Richmond kupitia Mwakyembe tuliisha jua, tena kule kule bungeni, Mwakyembe kwa kinywa chake alisema yapo mengine walificha, Escrow pia tumeielewa vizuri kwamba muhusika mkuu yupo! So ukweli najiuliza sana maana kama wakumfichia aibu ya UFISADI alipaswa kua fisadi mwenzie! Still thinking.
 
Hiyo CC 'maalum' itakuwa imeitishwa kwa dharura baada ya kuona 'spidi' ya mzee wa mamvi katika safari yake ya matumaini haidhibitiki.

Kwa hiyo wanatafuta 'mwoarobaini' ya namna ya kuli-delete jina lake.


Sioni dalili zozote za EL na Membe kupita tano bora kwa uhasama wa makundi hayo ulivyo sasa hivi. Kikwete mwenyewe ameshuhudia kundi lake lilivyokiharibu chama hata yeye mwenyewe alivyoshindwa kulidhibiti. Kwa sasa hivi kuna uwezekano tano bora wakaingia wasio na makundi ili kunusuru chama.
 
Sioni dalili zozote za EL na Membe kupita tano bora kwa uhasama wa makundi hayo ulivyo sasa hivi. Kikwete mwenyewe ameshuhudia kundi lake lilivyokiharibu chama hata yeye mwenyewe alivyoshindwa kulidhibiti. Kwa sasa hivi kuna uwezekano tano bora wakaingia wasio na makundi ili kunusuru chama.
Naunga mkono hoja, hata mimi ubashiri wangu unaona kuwa mzee wa mamvi na swahiba wake Membe, ni dhahiri wanaelekea kuonyeshwa RED card, aidha na kamati ya maadili ya mzee Mangula au na CC chini ya uenyekiti wa JK.
 
Hi movie yote ni LOWASSA tu, naanza kuhisi JK anamuogopa sana Lowassa; swali nililo nalo kichwani ambalo bado nalitafutia jibu ni hili; hawa jamaa walikua maswahiba sana hata tukawabatiza jina la Boys ii Men; imekuaje JK hataki kabisa jamaa aingie Ikulu? Kuna watu hapa watasema kwasababu mamvi ni fisadi, hivi JK ana usafi gani, ya Richmond kupitia Mwakyembe tuliisha jua, tena kule kule bungeni, Mwakyembe kwa kinywa chake alisema yapo mengine walificha, Escrow pia tumeielewa vizuri kwamba muhusika mkuu yupo! So ukweli najiuliza sana maana kama wakumfichia aibu ya UFISADI alipaswa kua fisadi mwenzie! Still thinking.

Mkuu Jk hataki lawama chama kimfie mikononi mwake, anajua watu hawapendi mtu fisadi. Na anajua wazi akimsimamisha anaweza kushinda kwa vile jamaa amejipanga kugawa hela, ila kuna hatari ccm ikakosa wabunge na madiwani. Believe me or not mtanzania wa leo siyo wa enzi hizooo!! rejea uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Hi movie yote ni LOWASSA tu, naanza kuhisi JK anamuogopa sana Lowassa; swali nililo nalo kichwani ambalo bado nalitafutia jibu ni hili; hawa jamaa walikua maswahiba sana hata tukawabatiza jina la Boys ii Men; imekuaje JK hataki kabisa jamaa aingie Ikulu? Kuna watu hapa watasema kwasababu mamvi ni fisadi, hivi JK ana usafi gani, ya Richmond kupitia Mwakyembe tuliisha jua, tena kule kule bungeni, Mwakyembe kwa kinywa chake alisema yapo mengine walificha, Escrow pia tumeielewa vizuri kwamba muhusika mkuu yupo! So ukweli najiuliza sana maana kama wakumfichia aibu ya UFISADI alipaswa kua fisadi mwenzie! Still thinking.


Kikwete kama rais mstaafu hawezi kushtakiwa popote baada ya kutoka madarakani kwa sheria zilizopo, hata tukizibadilisha hazitatumika kwake labda kwa raisi ajae atakaefanya kazi kwa sheria hizo. Hatuwezi kuchagua rais wa kuongoza watanzania kwa kumkomoa Kikwete wakati anakuja kuongoza watanzania wote na tukifanya hivyo tutakua tunajikomoa sisi kama watanzania. Nakumbuka wakati tunachagua rais wa TFF Tenga alipambana kuhakikisha Malinzi hapiti akina sisi tikaaminishwa kua Tenga anaogopa Malinzi ili asije akaweka wazi uozo wake tukapiga kelele mpaka Malizi akarudishwa mapaka hapa tumeshaona alichokua anakikataa Tenga.
 
Mamvi bado yupo mikoani atafuta udhamini?
 
Back
Top Bottom