CCM yaipa pole Msumbiji kwa kukumbwa na mafuriko

CCM yaipa pole Msumbiji kwa kukumbwa na mafuriko

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
WhatsApp Image 2026-01-22 at 19.41.40.jpeg
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Ndg. Rabia Abdalla Hamid akiwa na Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania, Ricardo Ambrosio Mtumbuida alipofika kuwasilisha salamu za pole katika Ofisi za Ubalozi wa Msumbiji jijini Dar es Salaam leo 22 Januari 2026, kufuatia maafuriko yaliyoikumba nchi hiyo na kusababisha takriban watu 600,000 kupoteza makazi.
WhatsApp Image 2026-01-22 at 19.41.42.jpeg

WhatsApp Image 2026-01-22 at 19.41.39 (1).jpeg
 
Msumbiji ni taifa ambalo linapata tabu sana kwenye mafuriko na vimbunga vikali, sijui kwanini
 
Back
Top Bottom