jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!Acheni ushabiki usiokuwa na maana kuna picha za cdm zina idadi ndogo za waandamanaji vilevile,hii ni sawa na msemo wa KUNYA ANYE KUKU,AKINYA BATA ANAHARISHA !!LOL Tubishane kwa hoja jamani sio picha au nani alianza kufanya nini???
CCM yafunika Mpanda!
Bwana Achebe tufanye hivi,
Kweli ccm imefunika, na walioudhuria ni watu mamilion zaidi sio hao elfu tu!
Je, kwa hilo ndio kuwaambia nini watz?
Ambao ndio walewale wamekuwa wakikiamini hiki chama kwa miaka 50 sasa?
Cameon Achebe, tusitoke kwenye hoja za msingi!
Hoja za msingi sio ccm kujaza watu kwenye mikutano kuliko chama kingine,
Hoja za msingi sio umaarufu wa ccm upoje kwa wananchi.
Hoja kuu ya msingi taifa lipo wapi baada ya miaka 50 ya "uhuru"... vipi mkuhusu muelekeo wa taifa upo? ni wapi?
Haya maswali yanajibiwa kwenye hiyo mikutano ya Nape na wenzake?
Kuna manufaa ya kufunika kama maswali bado ni mabichi mno mbele ya umma uliochoka hivyo?
Wao hawa hatarishi amani ya nchni?!
Nimependa sana hili bango la Nape, huu ni Ujumbe tosha kuwa CCM imekubali kuwa wanao mafisadi na hawata wafukuza kama walivyotaka kutudanganya!yaani mafisadi wanao na sehemu yao milele maana wao wanaamini wanaweza kuwepo chama chochote!
Kazi kweni watanzania habari mmeipata
![]()
Dead people walking!
Kuna mtu kasema wao 133 tu. Na wote ni ten cell leaders wa ccm.Hao ndio maelfu jamani watu hata 100 kufika ni bahati kwan kama wajumbe wa CCM ni zaidi ya 200 ina maanisha kuwa hao ni wajumbe tu wa CCM na hakuna mwananchi hata mmoja humo na kama wamo basi hawafiki 50,,, pole sana NNAPE maana huu ndio mwisho wako kujiua kisiasa,,,
'ccm yafunika mpanda'.Kichwa cha habari ni tofauti kabisa na picha inavyoonesha,Ila Kama watu hao wachache na jezi zao kwa ccm ni kufunika basi ccm inazidi kwenda na maji.Ni kwa nini wavae sare wote?Lazima wametembezewa chochote hawa watanzania ili wahudhurie na jezi wakapewa.Ktk mikutano ya ccm wengi wanaenda kwa sababu ya kupewa (kudanganywa)kanga,kofia,tishirt nk.
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana Mpanda wameikubali sana CCM.
![]()
![]()
![]()
Haya magamba yanawatesa sana mama zetu. Sijui tutumie nini ili watuelewe maana wao na kanga tu basi wanayafuata magamba. Nadhani kuna haja ya viongozi wanawake wa CDM kulifanyia kazi jambo hili. Inabidi waende vijijini wakawaelimishe mama zetu maana bado hawajajua kuwa watu walishaachana na ccm muda mrefu lakini wao hawajui kama CCM ilishakufa.
Jamani Wanawake wa CDM mnamkakati gani na hawa mama zetu huko vijijini? Hatunashida na vijana wanafanya vizuri na ndo tunawaona wakiwa mstari wa mbele kwenye maandamano kila mahali yanapofanyika.
Kuna haja ya CDM kukaa chini na kulifikiria hili maana tukumbuke hawa tusipofanya hivyo tunaweza kujikuta 2015 na hawa wa mama bado wako magambani na wananawake ni wapiga kura wazuri sana na hata magamba yanajua na ndiyo mtaji wao mkubwa.
Wao hawa hatarishi amani ya nchni?!
Nimependa sana hili bango la Nape, huu ni Ujumbe tosha kuwa CCM imekubali kuwa wanao mafisadi na hawata wafukuza kama walivyotaka kutudanganya!yaani mafisadi wanao na sehemu yao milele maana wao wanaamini wanaweza kuwepo chama chochote!
Kazi kweni watanzania habari mmeipata
![]()