Chama tawala na maandamano ya nini huu ni wakati wa kushughulikia matatizo ya wananchi na kutekeleza ahadi badala ya kuandamana.
Sidhani kama CCM wanajuwa what to do any more- wamekuwa ni watu wa 'copy & paste' from CHADEMA. That's why ni muhimu kwa CHADEMA kushika dola maana ccm wamefilisika.