Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
wamefunikwa na khanga na kofia ila chini wamesahau wakavaa kanda mbili [sandals]
katibu wa nec, itikadi na uenezi, nape nnauye na katibu wa uchumi na fedha mwigulu nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya ccm wilaya ya mpanda kwenda kwenye uwanja wa shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana mpanda wameikubali sana ccm.
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana Mpanda wameikubali sana CCM.
Chama tawala na maandamano ya nini huu ni wakati wa kushughulikia matatizo ya wananchi na kutekeleza ahadi badala ya kuandamana.
chama tawala na maandamano ya nini huu ni wakati wa kushughulikia matatizo ya wananchi na kutekeleza ahadi badala ya kuandamana.
Chama tawala na maandamano ya nini huu ni wakati wa kushughulikia matatizo ya wananchi na kutekeleza ahadi badala ya kuandamana.