Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
igunga waende zao huko juzi tu tulikuwa na uchaguzi wamepewa wali na kofia sasa hivi wanakataa nini? walinywe sasa
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
picha????????????????????????????
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Palalisote nisingeweza kuchukua picha,kwa kuhofia usalama wangu.Kumbuka Magamba wana hasira sana na vijana hapa Igunga,pia wanatutambua vyema kwa sura na itikadi zetu.Kwa upande wa pili kufika kwangu eneo lile ningeitwa msaliti,kwani vijana waliweka msimamo mapema wa kutokanyaga eneo hilo!
Hivi ule mkutano waliouandaa CDM pale kimara ulihudhuriwa na wananchi wangapi?
Waislam bwana! Wakisikia ishu za kulakula wanakuwa na mshawashaaaa! Sasa hapo wivu umekushika Lissu kugonga Ubwabwa Ikulu!
hapa angekuwa Narubongo ameleta habari kama hii kuhusu cdm sasa hivi kungekuwa kumejaa kila aina ya matusi na kabehi lkn kwa kuwa ameleta kada wa cdm basi ni habari ya ukweli
Hongeleni makamanda kwa msimamo wenu wa kuichukia ccm
hata kama una elimu gani na una upeo mkubwa still ukiwa ndani ya ccm huwezi kufanya yale uliyoyakusudia. unafungwa - unaishi kama mfungwa - mfano mzuri ni wewe na hoja yako ya wachimbaji wadogo wadogo wa madini ipo wapi?Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.
Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?