CCM yaendelea kukataliwa na wananchi IGUNGA

picha????????????????????????????


images
 
Palalisote nisingeweza kuchukua picha,kwa kuhofia usalama wangu.Kumbuka Magamba wana hasira sana na vijana hapa Igunga,pia wanatutambua vyema kwa sura na itikadi zetu.Kwa upande wa pili kufika kwangu eneo lile ningeitwa msaliti,kwani vijana waliweka msimamo mapema wa kutokanyaga eneo hilo!
umesomeka
 
Palalisote nisingeweza kuchukua picha,kwa kuhofia usalama wangu.Kumbuka Magamba wana hasira sana na vijana hapa Igunga,pia wanatutambua vyema kwa sura na itikadi zetu.Kwa upande wa pili kufika kwangu eneo lile ningeitwa msaliti,kwani vijana waliweka msimamo mapema wa kutokanyaga eneo hilo!

Tumekukubali kamanda, pia asante kwa taharifa.
 
hahaha..sahv igunga tunawaongeza kwenye CWW(Chama Cha Wananchi Wasiotawalika)..ambamo tupo wananchi wa MBEYA,MWANZA,ARUSHA,SONGEA(tumewaongeza juz),IGUNGA..
 
well kama watu wanaendelea kuwa na mwamko kiasi hiko its good. real good. Mwl kashindye kwa maoni yangu asilale,,aendele na mikutano ya kuhamasisha watu watambue mabadiliko,that way yeye ama yeyote atakayesimama for cdm 2015 atashinda
 
well kama watu wanaendelea kuwa na mwamko kiasi hiko its good. real good. Mwl kashindye kwa maoni yangu asilale,,aendele na mikutano ya kuhamasisha watu watambue mabadiliko,that way yeye ama yeyote atakayesimama for cdm 2015 atashinda
kwa mtazamo wangu naona ni vizuri au itakuwa ni busara sana kushirikiana na Mbunge huyu aliyekwisha apishwa tayari. Sioni ubaya wowote kwa Dr. Kafumu kuwa mbunge wa Igunga.

Dr Kafumu kwa taaluma yake ni vizuri kumback up kwa kumpatia maoni mbalimbali yanayohusu maendeleo ya jimbo la Igunga na taifa kwa ujumla. Tabora ni mkoa wenye madini mengi sana. je tukimwomba awakilishe bungeni hoja ambayo itakuwa na tija kwa wachimbaji wadogo wadogo wa madini kwa kufanya demonstrated examples hapo mkoani Tabora.

Au kwa kumshwishi engalau basi hapo Igunga pawe na hata kiwanda kikubwa cha serikali cha kuprocess concerntrates za copper, gold,lead, iron, zinc, manganese, madini hayo yote yapatikana Tabora. au kumwomba awakilishe serikalini hoja ya kutengeneza maabara ya serikali ya kupima madini iwe hapo Igunga...

Naandika haya nikijua kabisa Dr. Kafumu amesomea haya mambo. Naomba ndugu zangu tushirikiane naye ili tuweze kupata kazi za kufanya , watu wengi wako idle, hawajui wakiamka waende wapi, wafanye nini. Lakini kukiwa na vitu kama hivyo nilivyotaja , maabara za madini, kiwanda cha kutengeneza concentrates, ajira zitaongezeka.

Au hata kumtuma awakilishe taifani ya kwamba wawekezaji wa adini wafanye kuprocess tu, wachimbaji wawe wazawa na godown ziwe za serikali.......n.k... fikiria faida itakayopatikana Igunga kwa njia ninayojaribu kuwaeleza tushirikiane na Mbunge wetu, ukilinganisha na kumsusia mikutano yake.
 
hapa angekuwa Narubongo ameleta habari kama hii kuhusu cdm sasa hivi kungekuwa kumejaa kila aina ya matusi na kabehi lkn kwa kuwa ameleta kada wa cdm basi ni habari ya ukweli
 
sio tu igunga hata huku kwetu temeke mambo yameshaanza, maana kila mtaa wananchi wa lika zote wanajadili mambo ya siasa huku wakikituhumu chama cha mapinduzi kushindwa kuongoza nchi
 
Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura.

Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
 
Hongereni wana Igunga kwa msimamo wenu madhubuti
Msimamo gani? kama si kuwarudisha nyuma zaidi. Ni muhimu wakishirikiana na Mbuge Dr. Kafumu ili waweza kupunguza kidogo makali yaliyopo wakati huu. Wakisusa kusaidiana naye ndiyo maendeleo yatakuja Igunga. Ushauri wako kwa Wana Igunga hauna maana kabisa. Mimi ninachokiona kwa ni kuwaongezea chuki, ambo ni mzizi mkuu wa dhambi, na dhambi unajua madhara yake. Great thinker kama wewe unapashwa uwe thinker mpatanishi, mdadisi wa kuleta mabadiliko katika jamii engalau ushawishi watu watoke kwenye tembe, au watoke kwenye imani za kishenzi, kuamini kuwa mtu anaweza kuzuia mvua isinyeshe.....Be patriotic please.
 
Back
Top Bottom