picha????????????????????????????
Utakuwa chizi wewe picha ya nini sasa wakati maelezo yamejitosheleza?
umesomekaPalalisote nisingeweza kuchukua picha,kwa kuhofia usalama wangu.Kumbuka Magamba wana hasira sana na vijana hapa Igunga,pia wanatutambua vyema kwa sura na itikadi zetu.Kwa upande wa pili kufika kwangu eneo lile ningeitwa msaliti,kwani vijana waliweka msimamo mapema wa kutokanyaga eneo hilo!
Palalisote nisingeweza kuchukua picha,kwa kuhofia usalama wangu.Kumbuka Magamba wana hasira sana na vijana hapa Igunga,pia wanatutambua vyema kwa sura na itikadi zetu.Kwa upande wa pili kufika kwangu eneo lile ningeitwa msaliti,kwani vijana waliweka msimamo mapema wa kutokanyaga eneo hilo!
Unajua watu wengine wanaudhi siku hizi umekuwa kama wimbo picha picha, wakiambiwa Mwigulu alifumaniwa wanadai eti picha hadi inakera.Usiku mwema Feedback.
kwa mtazamo wangu naona ni vizuri au itakuwa ni busara sana kushirikiana na Mbunge huyu aliyekwisha apishwa tayari. Sioni ubaya wowote kwa Dr. Kafumu kuwa mbunge wa Igunga.well kama watu wanaendelea kuwa na mwamko kiasi hiko its good. real good. Mwl kashindye kwa maoni yangu asilale,,aendele na mikutano ya kuhamasisha watu watambue mabadiliko,that way yeye ama yeyote atakayesimama for cdm 2015 atashinda
Msimamo gani? kama si kuwarudisha nyuma zaidi. Ni muhimu wakishirikiana na Mbuge Dr. Kafumu ili waweza kupunguza kidogo makali yaliyopo wakati huu. Wakisusa kusaidiana naye ndiyo maendeleo yatakuja Igunga. Ushauri wako kwa Wana Igunga hauna maana kabisa. Mimi ninachokiona kwa ni kuwaongezea chuki, ambo ni mzizi mkuu wa dhambi, na dhambi unajua madhara yake. Great thinker kama wewe unapashwa uwe thinker mpatanishi, mdadisi wa kuleta mabadiliko katika jamii engalau ushawishi watu watoke kwenye tembe, au watoke kwenye imani za kishenzi, kuamini kuwa mtu anaweza kuzuia mvua isinyeshe.....Be patriotic please.Hongereni wana Igunga kwa msimamo wenu madhubuti