Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
I dont see any strong candidate from CCM so far. Hasa ukizingatia sera ya udini ambayo inapandikizwa kwa kasi ndani ya CCM. On the other hand, I dont see any future to any CCM candidate as far as those corrupt guys are still in the system. Maana watafanya vilevile walivyofanya 2005 kumuangusha babako, Mwandosya, Kigoda na wengineo (nguvu ya pesa). Na to be frank, watanzania wengi bado ni masikini wanahitaji sana hizo tshirt za CCM, khanga na chumvi ambayo CCM huwa inatoa wakati wa kampeni. So mafisadi wakiamua kumweka mtu wao kwa njia ya pesa, watawaokota watanzania wengi tu? kwani Kikwete aliingiaje?- The question ni kwamba Nape amefikaje alipo sasa baada ya kupigwa vita vya ajabu na hata kutaka kufukuzwa UV-CCM, unasema Seniors sasa walikuwa wapi alipopewa hii nafasi kama wana nguvu sana ndani ya CCM ya kumkwamisha huko mbele? Kwa nini hawakumkwamisha asipewe kama kweli wana hizo nguvu unazozisema?
- CCM ni lazima ibadilike tu, ingekua haiwezi kubadilika Nape asingeshika hiyo nafasi wala kupewa, kwenye uchaguzi wa 2015 CCM lazima itaweka a strong Candidate ambaye tayari anakubalika sana sasa hivi, tizama matokeo ya NEC ya CCM, utamuona tatizo lipo Chadema, watamuweka nani?
- Ningekuwa wewe ningekosa sana usingizi na kutaka kujua nani atasimama Chadema maana so far hakuna?
Willie @ NYC, USA.
Mtu aliyekuwa amekataliwa na secretariat yote ya CCM, lakini mwisho wa siku akaja kuibuka kidedea. Ilitokeaje? Si ni hao hao akina Rostam na Lowassa ndo waliowaamulia watanzania rais wa kuwaongoza? Na sasa hivi mkiwaondoa, nawambieni wataweka rais wao ambaye akiingia tu, atahakiikisha kikwete anakaa segerea kama siyo ukonga. Nyie subirini. Nawaambieni CCM mna hali mbaya sana. Maana hiyo minyukano ya ndani ya CCM itawasababishia mpoteze mvuto mbele ya jamii na kuwapa nafasi upinzani.