William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Nape anatumwa na chama kusema,lakini bado chama kinashindwa kumwambia kitu gani muhhim cha kusema,kwa sababu chama hakina zuri la kulisemea na watu wa kuelezwa,kwa hiyo anajikuta anatumia calories nyiiingi kweli mtoto wa mzee Nauye
- Rome haikujengwa kwa siku moja, Nape ndio kwanza ameingia apewe nafasi kwanza ndio ahukumiwe!
Willie @ NYC, USA.