Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Wenye nchi yao hivi sasa wamezua tafrani mjini. Kuna foleni ya kufa mtu hakuna gari linasogea...JK anarudisha fomu! Maisha bora kwa waendao kujenga Taifa!
Naomba ufafanuzi, haya maandamano na msongamano haviwezi kuathiri ratiba za vyama vingine kurudisha fomu, yaani APTT saa 5, TLP saa 5, Chadema saa 6, Cuf saa 7, UPDP saa 8 etc. Au msongamano huu ni njama za kuwakwaza wenzao ili washindwe kurudisha fomu leo katika muda muafaka na waenguliwe? Mjini shule!!!