CCM wamwandaa Magufuli kwa midahalo!

CCM wamwandaa Magufuli kwa midahalo!

Wamempa majibu ya
1.Ripoti ya CAG
2.Nyuma za serikali
Hasara za serikali dhidi ya
3.samaki WA Magufuli,
4.sheli za mwanza NK
5. Ubovu WA barabara alizojenga

Ongezeni maswali yanayohitaji majibu
 
Midahalo inasaidia vipi watu wa vijijini?,,ukawa hatuna shaka na lowasa maana akiwa bize na kampeni basi atawakilishwa maana haiko kwenye katiba hiyo

Hah hah hah! yaani yale yooote tuliyokuwa tunayasikia CCM yamehamia CDM rasmi, leo mnaogopa midaharo tena? hamtaki midaharo? yaani sahivi CDM mmegeuka hamuwezi tena na mnajitahidi kuzuia tu sasa, kama ni mpira basi mko kwenye hari mbaya sana, mmezidiwa hata kabla mpira haujaanza mshaanza kucheza defensive na hapo lazima mlie, kwa kanuni za soka defensive ina gharama kubwa na ndo maana mmejaa sana Jf sahivi si kwasababu mko salama bali ni kujaribu kudefend make mnahisi attacks zinawaelemea ..poleni sana
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.

Nimecheka sana leo.Yaani JK mwenyewe muoga wa Mdahalo anamuandaa nani?Kwa hiyo Magufuli nae anamuamini huyo mentor wake?Kazi ipo
 
Nimecheka sana leo.Yaani JK mwenyewe muoga wa Mdahalo anamuandaa nani?Kwa hiyo Magufuli nae anamuamini huyo mentor wake?Kazi ipo

Wewe Ben bora ungekaa kimya kabisa..wewe mwenyewe ukikaa mbele ya watu watano tu unashindwa kuongea sentensi inayoeleweka...bora ukae kimya kwenye topic zinazohusu public speaking na open debates
 
Ben, Vp Mh.Lowassa nae kwenye Midahalo yukoje?

Aisee tunasubiri kwa hamu .. sijui .. ngoja tuone .. ila Ben nadhani hajafanya SWOT analysis ya kutosha ya mgombea wao vinginevyo angekaa kimya!
 
Aisee tunasubiri kwa hamu .. sijui .. ngoja tuone .. ila Ben nadhani hajafanya SWOT analysis ya kutosha ya mgombea wao vinginevyo angekaa kimya!

Midahalo kwa Tanzania haina maana kwa kuwa Watanzania wengi hawachagui Mtu kwa kutazama au kupima uwezo wake wa kujieleza, ingekuwa hivo Mgombea wa Ccm 2015 angekuwa Asha rose, pia 2005 Jk ni wa mwisho kwa kujieleza kati yake, Dr.Salim na Mwandosya lakini wapiga kura wakamchagua Jk.
 
Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.

Waandae mdahalo then sisi tutamtuma Tundu Lisu manake Lowassa yuko busy sana kwa kuwafakia wananchi katika wilaya zote.....
 
Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.
UKAWA hawawezi kutia timu kwenye mdahalo wa wagombea Urais.
 
Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.
Watakutana kwenye kampeni, huu si wakati wa midahalo tena. IKIWA MCHAKATO MAJIMBONI ULILETA KIZAAZAA VIPI HUU UFANYIKE?
 
Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.

 
Last edited by a moderator:
Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.

Hivi si CCM ambayo ndio imeweka utamaduni wa kukataa midahalo? Sasa iweje tena mnataka Magufuli afanye mdahalo na EL?

Ni wazi kwamba CCM wameshaona Magufuli hamuwezi EL kabisa katika ulingo wa kisiasa ndio maana sasa wanataka kulazimisha midahalo na EL ili Magufuli aokote umaarufu wa bure kupitia jina la EL.

Sasa mmeanza kumuandaa Magufuli kwa midahalo na EL? Mbona hamzungumzii wagombea wengine?

Ni wazi kwamba mnataka kutumia kipaji cha usanii cha Magufuli cha kukariri vitu kama Kasuku ili iwe karata yenu ya Mdahalo. Tayari tumeshaona mafunzo mnayompa mkitegemea kipaji chake hicho cha kisanii cha kukariri kama Kasuku pale alipokwenda kuchukua fomu ambapo alikuwa anaonyesha uwezo wake wa kukariri kama Kasuku wa kuelezea jinsi makabila mbalimbali hapa Tanzania yanavyosalimiana kilugha na tumeona uwezo wake huo wa kukariri alipokuwa akifungua kivuko huko Mtwara na kuelezea utengenezaji wa barabara Tanzania katika kipindi cha Kikwete.

Maendeleo ya nchi hayategemei uwezo wa Rais kuwa msanii wa kukariri vitu kama Kasuku. Huo ni uwezo unaofaa kwa mtu anayetumwa akafanye kitu fulani na sio mtu anayepanga mikakati ya kufanya vitu fulani. Magufuli, ukiacha mkono wake mrefu wa kukwapua mali ya umma kama ilivyoanishwa kwenye ripoti ya Mkaguzi Mkuuu wa Mahesabu Tanzania, ni mtumishi ambaye ni mzuri kumtumia akiwa chini ya mtu mwenye vision na yeye kazi yake ni kutekeleza yaliyoanishwa na bosi wake pamoja na kufuatilia kuona maelekezo yanatendeka lakini hana sifa kabisa ya yeye kuwa ndio kiongozi mkuu wa kutoa vision na kubuni vitu. Ndio maana wakati alipokuwa anaanza safari yake ya kutaka kuwania Urais hakuweza kuzungumza ni mikakati gani yeye kama Magufuli anayo katika kuitoa nchi yetu hapa tulipo badala yake akasema atatekeleza sera za CCM. Bila shaka huyu Magufuli alilazimishwa kuchukua fomu kwani kama ingekuwa ni hiyari yake mwenyewe basi asingejitokeza kabisa kwani anajijua kwamba hana uwezo wa kuwa kiongozi mkuu ndani ya nchi.
 
Last edited by a moderator:
Wamempa majibu ya1.Ripoti ya CAG 2.Nyuma za serikali Hasara za serikali dhidi ya 3.samaki WA Magufuli, 4.sheli za mwanza NK 5. Ubovu WA barabara alizojengaOngezeni maswali yanayohitaji majibu
6. Asiye na 200 apige mbizi7. Mtumba wa meli Dar-Bagamoyo8. Kupingana hadharani na mabosi wake,hatimaye yeye kukemewa mbele ya wapiga kura wake.9. Matatizo ya ardhi,mapigano Kati wakulima na wafugaji
 
Teh teh,tutaaaaaa taaaaa taaaa aka kithembe au kigugumizi,sisemi kitu mdahalo uje
 
Back
Top Bottom