Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Kwa jinsi ninavyomjua Magufuli, Lowassa atakua nawakati mgumu sana kushindana naye kwenye midahalo. Naamini UKAWA wanalijua hili na watafanya kila hila kulizuia kutokea.
Lowassa ni kamanda kwa jina lakinj hayupo fit mentally and physically.
Magufuli mwenyewe hana karama kihivyooo, labda kutiririka creaming na kujishusha na sasa wananchi tunataka mabadiliko sio risala na makaririsho. itabidi pia wote wawe tayari kujibu maswali watakayoulizwa kwa ufasaha. Waendesha midahalo wasipendeleee na pia wasitangulie kuwapa majawabu wadahiliwa, tutawapima kwa namna hiyo