figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 24,966
- 52,622
Salaam Wakuu,
Sasa nimeanza kuelewa Usemi wa Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA) aliposema Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ni Tawi la Chama cha Mapinduzi.
Hivi sasa CCM inafanya uchaguzi wa ndani nafasi mbalimbali. Nimeshangaa kuona wanatumia Karatasi na Masanduku ya kupigia kura ya NEC. Vifaa vya tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa CCM na ndani ya Ofisi za CCM. Kweli?
Viongozi Serikali wanaona sawa tu.
Demokrasia Tanzania ipo wap?
Sanduku la NEC kwenye uchaguzi wa CCM
Kumbe Masanduku na Karatasi za kupigia kura za NEC vinapatikana kirahisi hivi? Asante sana Rais Samia na Taasisi yako ya Uraisi
Asante Tume ya Uchaguzi, asante Jeshi la Polisi, Asante Mahakama na wote Mnaohusika kwa Kuruhusu hili litokee ili Dunia ijue Tanzania ni Nchi ya namna gani kwenye maswala ya Vyama vingi.
Sasa nimeanza kuelewa Usemi wa Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA) aliposema Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ni Tawi la Chama cha Mapinduzi.
Hivi sasa CCM inafanya uchaguzi wa ndani nafasi mbalimbali. Nimeshangaa kuona wanatumia Karatasi na Masanduku ya kupigia kura ya NEC. Vifaa vya tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa CCM na ndani ya Ofisi za CCM. Kweli?
Viongozi Serikali wanaona sawa tu.
Demokrasia Tanzania ipo wap?
Sanduku la NEC kwenye uchaguzi wa CCM
Kumbe Masanduku na Karatasi za kupigia kura za NEC vinapatikana kirahisi hivi? Asante sana Rais Samia na Taasisi yako ya Uraisi
Asante Tume ya Uchaguzi, asante Jeshi la Polisi, Asante Mahakama na wote Mnaohusika kwa Kuruhusu hili litokee ili Dunia ijue Tanzania ni Nchi ya namna gani kwenye maswala ya Vyama vingi.