Uchaguzi 2020 CCM wamemwachia Magufuli fupa la Doto James na Mayanga Construction alitafune mwenyewe!

Magumashi ana ubaguzi wa hali ya juu.
° Undugunaizesheni anaongoza yeye.
° Ukabila anaongoza yeye
° Ukanda anaongoza yeye
° Udini anaongoza yeye
° Kuvunja katiba anaongoza yeye
° Ukiukaji wa haki za binadamu anaongoza yeye.
Hata ndani ya chama chake wanamshangaa kwa jinsi asivyoshaurika
And finalllu R.I.P
 
TUTATANGAZA USHINDI WETU MNONO NA HATA MKIANDAMANA HATUWAPIGI NGOO MTATEMBEA WEE MWISHONI MTALALA KIMYA LENGO LENU TUNALIJUA TUWAPIGE ILI MPATE CHANZO SASA TUMESTAHARABIKA CHOMBO CHETU NI CHA KISASA VIJANA WAMESOMA JUST LIKE SWITSERLAND
Baada ya kutangaza mnataka nini tena?
 
Back
Top Bottom