fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 391
Kama kuna kitu wanajidanganya ccm ni habari kama hizi.. kwanza Mukama anasema ccm ndicho chama pekee kinachoweza kusimamia rasilimali za nchi (ikiwapo migodi inayowaaibisha kila wapitapo) kwanini habari hizi hazisikiki katika magazeti yale makini? Kama lengo ni kupata umaarufu kupitia vyombo vya habari wajue wamechelewa, wakati wake ulishapita sasa tunataka vitendo na kisha umaarufu utafuata