MWAKALASYA
Member
- Jun 22, 2015
- 46
- 10
Akumbuke na kumuadabisha aliyeiua Kiwira Coal Mines
hapo hakuna chochote,wanasubiri mheshimiwa pombe amalize honeymoon yake ya urais ili na yeye aanze kuisoma namba mtu mmoja hawezi kupambana na system iliyomuweka tunadanganyana tu,ccm ni ileile,mawaziri ni walewale,mwanasheri mkuu wa serikali ni yuleyule kilaza.nothing new
wananchi wamechagua magufuli kuleta mabadiliko ya kweli sio geresha ya CCM-B/ukawa. sijui wewe unachekelea nini. CCM-A ni mbele kwa mbele wanaosoma namba ni CCM-B/ukawa. magufuli=mabadiliko ya kweli.Safari za nje zimesitishwa watoto na ndugu za wanufaika ambao ni wana CCM wanalia,
Rweyemamu ameambiwa afungashe virago ikulu atakuwa anaiona ikulu kwenye TV ameanza kuisoma,
Ruge tenda za matamasha ya ikulu zimeyeyuka alikuwa anaingia ikulu kama choo cha stand sasa ameanza kuisoma,
Posho za wabunge nje ya vikao zimefyekwa wataisoma,
Reshuffle la maDC linakuja...humo mwote hakuna UKAWA hata mmoja wataisoma,
Hadi sasa wanaCCM ndio walioanza kulia hata kabla ya UKAWA.
Waliokuwa wanadhani ni UKAWA pekee wataisoma namba walikuwa wanaota,
Magufuli bado anaendelea kufagia nyumba yake mliozoea kula vya kunyonga sasa mtaisoma, hakuna cha vimemo na bado.
Unadhani kila mtu anasafiri kwa safari imprest? Wapo wenyebiashara zao hata akiamua kwenda kila mwezi kupumzika hakuna wa kumhoji anakula vyake halali. Shida ni hao ambao ambao hata kwenda Kenya tuu mpaka kibali cha Pombe kitoke,kweli mtaisoma mwaka huuNa safari za DJ huko Dubai soon zitakatizwa
Achome kunguni wote, asisahau kufuta nafasi ya WAZIRI ASIYEKUWA NA WIZARA MAALUM, nafasi ya WAZIRI KIVURI, nafasi ya VITI MAALUM, ifikapo 2020 futa vinaligharimu taifa. Toa utitiri maofisini ili kazi zitendeke kwa ufasaha, maana wengne kila siku hawana majukum wanashnda kupiga stori na kuchat kwenye whatsap mida ya kazi. Baba Magufuri njoo kwenye maofisi ya halmashauri za nchi yako, 90% ni wazembe wazembe tu!
magufuli anafanya mambo kama ametoka chama pinzani?? kwanini?
Safari za nje zimesitishwa watoto na ndugu za wanufaika ambao ni wana CCM wanalia,
Rweyemamu ameambiwa afungashe virago ikulu atakuwa anaiona ikulu kwenye TV ameanza kuisoma,
Ruge tenda za matamasha ya ikulu zimeyeyuka alikuwa anaingia ikulu kama choo cha stand sasa ameanza kuisoma,
Posho za wabunge nje ya vikao zimefyekwa wataisoma,
Reshuffle la maDC linakuja...humo mwote hakuna UKAWA hata mmoja wataisoma,
Hadi sasa wanaCCM ndio walioanza kulia hata kabla ya UKAWA.
Waliokuwa wanadhani ni UKAWA pekee wataisoma namba walikuwa wanaota,
Magufuli bado anaendelea kufagia nyumba yake mliozoea kula vya kunyonga sasa mtaisoma, hakuna cha vimemo na bado.
Sie ndo tulitaka hivyo
Napenda akifyeka kabisa ni viti maalum pamoja na ruzuku kwa vyama. Lazima namba wataisoma tu, waliokuwa wazembe na wezi
Na safari za DJ huko Dubai soon zitakatizwa
Hujawahi kujua kuwa Magufuli nimpinzani ndani ya CCM. Na hili wengi walikuwa hawalijuii ila wachache sana wana taarifa yake.
Na safari za DJ huko Dubai soon zitakatizwa
Akitoka hapo anaenda kwa waliochukua chao mapema,ranchi na ng'ombe wetu watarudishwa,mashamba(nyika)huko Mvomero,nayo yapo mbioni kurudishwa kwa wananchi,tenda za car park jijini Dar nazo karibu zitaota mbaya,matajiri ''wauza juice'' muda wa kulipakodi ili tupate elimu bure sasa umefika,ndoto za kumiliki vitalu vya gesi kwa ubweche ndio hizoo zimeyeyuka,hakika huu ni mtego wa panya wanaingia waliokuwemo na wasio kuwemo,Tinga mbaya,teh teh,Tinga mbaya wewe teh teh.
hapo hakuna chochote,wanasubiri mheshimiwa pombe amalize honeymoon yake ya urais ili na yeye aanze kuisoma namba mtu mmoja hawezi kupambana na system iliyomuweka tunadanganyana tu,ccm ni ileile,mawaziri ni walewale,mwanasheri mkuu wa serikali ni yuleyule kilaza.nothing new