wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
mimi bado nipo napiga nyimbo za sifa kwa mungu maana kwa hakika hakuna fisadi aliyekanyaga jumba letu takatifu na tanzania njema ni lazima.......
Glory honor and majesty belongs to you my living and mighty god kwa hakika wewe ni mtakatifu!
Amina Kubwa