Wewe ni mchochezi na unatumia style ya divide and rule but you wont make it
Huu uzi unachefua umekaa kipumbavupumbavu sana.
Mimi ni mkristo mkatoliki nalijua kanisa langu kwa undani kabisa. Masimamo wa kuipinga tume ya WARIOBA ni shinikizo la KARDINALI Pengo kwa maslahi ya kanisa katoliki huko Zanzibar. Ni kweli matukio mabaya yamefanyika na serikali ya CCM kushindwa kuyashughulikia na hata kutoa majibu. Kumekuwa na juhudi ZA kuidhibiti zaidi Zanzibar. Tukumbuke JK alishawambia CCM wajiandae kisaikolojia kupokea serikali 3 na kusaini rasimu zote. Mnajiuliza maswali nini kimetokea na Watu kubadilika ghafla hata wale waliokuja pamoja mfano wajumbe wenye nguvu wa Zanzibar ? Nawapa jibu hapo. Binafsi nimewaelimisha viongozi wangu wa dini falsafa ya ukristu ya kwenda pole pole kama alivyoshauri Gamaliel kwenye kitabu cha matendo ya mitume. Kuikandamiza Zanzibar sio kuimarisha ukristu . Kama alivyolia LYatonga MRema 2005 kwa KIlaini na Mimi nalia Leo kwa Askofu wangu KARDINALI Pengo. Umeiharibu Tanzania. Amani kwanza serikali baadae.
Angalia usije kuwa wewe ndo mchina!kandika kichina hyu
Word!!!!Washikaji wengi ni wanafiki kama kamasi kwenye pua ukiwapenga wanabaki usoni...
Kanisa Katoliki lenyewe linasemaje kuhusu tuhuma hizi?Wewe ni mchochezi nambari moja... Hapa unathibitisha unafiki wako. Thibitisha hilo unalolisema hasa uhusika wa kanisa Katoliki...
Kanisa Katoliki lenyewe linasemaje kuhusu tuhuma hizi?
Kimyaa...
Wenye macho na fikra watanzania ukweli , wewe ng'ang'ania upofu. Amani kwanza dini na serikali baadae
Mimi ni mkristo mkatoliki nalijua kanisa langu kwa undani kabisa. Masimamo wa kuipinga tume ya WARIOBA ni shinikizo la KARDINALI Pengo kwa maslahi ya kanisa katoliki huko Zanzibar. Ni kweli matukio mabaya yamefanyika na serikali ya CCM kushindwa kuyashughulikia na hata kutoa majibu. Kumekuwa na juhudi ZA kuidhibiti zaidi Zanzibar. Tukumbuke JK alishawambia CCM wajiandae kisaikolojia kupokea serikali 3 na kusaini rasimu zote. Mnajiuliza maswali nini kimetokea na Watu kubadilika ghafla hata wale waliokuja pamoja mfano wajumbe wenye nguvu wa Zanzibar ? Nawapa jibu hapo. Binafsi nimewaelimisha viongozi wangu wa dini falsafa ya ukristu ya kwenda pole pole kama alivyoshauri Gamaliel kwenye kitabu cha matendo ya mitume. Kuikandamiza Zanzibar sio kuimarisha ukristu . Kama alivyolia LYatonga MRema 2005 kwa KIlaini na Mimi nalia Leo kwa Askofu wangu KARDINALI Pengo. Umeiharibu Tanzania. Amani kwanza serikali baadae.
Hakuna mkatoliki atakeyejiita mkrisTO hapo umechemka na uchochezi wako
Unasema wewe ni MKATOLIKI au lakin huenda wewe ni "MKATO" tu. Kama mkatoliki unajua kama 'kudhania bure' ni kosa kwa imani ya kikatoliki? Kama unajua umechukukua hatua gani? Kama hujui na hujachukua hatua wewe ni MKATO tu.Mtatafuta majibu ya kutetea Imani hasa katoliki na sio hoja. Mimi ni mkatoliki kuliko wote mnaobwabwaja hapa nasali misa ya kwanza udsm Mara nyingi huongozwa na Fr. Henry RImisho. Na. Paroko wangu monsinyori Mbiku mpo hapo. Narudi kwenye hoja. Rwanda ilianzaje hivi hivi. Waliosema wakasema wakapuuzwa nilijua na haya pia. Mlimsikia mufti baada ya rasimu kuwa tayari kwenda bungeni akasema anapendekeza serikali ngapi? Acheni Mahaba ya Imani mkasahau shina la imani ni Amani. Mmoja hapo juu Hajui kristo na kristu yote ni ya Kiswahili yanatokana na Neno Christ iliyotakana na Neno christos la kigiriki maana yake annointed. Naifahamu dini yangu na misingi yake. Tusitetee hapa Imani Bali Amani.