nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,439
- 2,287
Arudishwe kwao kama alivyomrudisha Kilaini kwa BK kuwa askofu msaidizi. Baada ya kushabikia siasa
Thumb up.tumemchoka bana kanisa anataka kuligawa huyu pengo.awe makini hii katiba ni vita ya watawala dhidi ya watawaliwa na watawaliwa wanataka kuwapa maelekezo watakao watawala sasa watawala wameshituka sasa ni vita.kiongozi wa dini kama yeye hakupaswa kuside kabisa na nakwambia leo yesu ameteswa msalabani na kufa, pengo nae kauli yake inamtesa ila yeye hafi bali anateseka zaidi.